Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

Yes it is a joke if you said so.
Siitetei serikal ila unachochanganya ni wingi wa ndege vs nani wakwanza kupata.

Correction ni kuwa tanzania ili order mbili. Sio moja.
Na sababu tanzania wame order ndege chache ndio maana process na delivery zimefanyika haraka na ndege zimekuja mapema.
Misri wana order 14.. lazima wachelewe kwa wingi wa ndege walizoweka order.
Nakukumbusha sio 14 ni 24
 

nisawasawa na kujisifu kuwa una passo moja na jirani yako ana landcruiser tisa

TANZANIA
CS300/A200-300 -medium-range jet airliner with Capacity of 108 to 133-seat passengers
Unit cost US$ 89.5 million
Idadi ya ndege moja (1)



ETHIOPIA

Airbus A350 - long-range, twin-engine wide-body jet airliners with capacity of seat 280 to 366 passengers
Unit cost US$317.4 million
Idadi ya ndege tisa (9)
Hapa ndio kisema tumepogwa?
 
Ntatoa laki sita unitajie nchini inayomiliki CS300/A200-300 kwa Afrika ukitoa TZ ntakupa na kujitoa JF
B8E63307CDCC3A24525C524B983FC583A7E61390
 
1) Wewe ndiyo muongo. Nani alisema hii ni ndege kubwa katika Afrika?

Hii ni ndege ya kwanza katika Afrika kwa ndege za aina ya Airbus a220-300 na ya tano katika dunia na zipo zingine 400 kwenye order ya kununuliwa mpaka December 2018.

Ushahidi wa kwanza: Air Tanzania Becomes First Airbus A220-300 Operator In Africa | Airways Magazine

Ushahidi wa pili: Air Tanzania becomes first African-based A220 operator
Mama mwambie mwenyekiti, mashekh wetu awapeleke mahakamni
 
Mkuu hivi kwanini Magufuli anapingwa kinyama sana na wananchi wake ?
nimefanya kautafiti kadogo wanaompinga JPM wapo katika makundi kadhaa
Kwanza kuna wale walikuwa kwenye team Membe na team lowassa ndani ya CCM hawampendi JPM
Pili ni kundi la wafanyabiashara ambao kutokana na utawala kuwa dhaifu Tanzania waliitumia kama mtaji.........(Yaani unaweza ukaja Tanzania ukafanya lolote lile kwenye biashara)
Tatu ni kundi wa watumishi waliotumbuliwa na waliokatiwa mirija ya upigaji serikalini (Mfano kuondoa pesa za miradi ya serikali kwenye mabenki, kuhakikisha mapato yote ya serikali yanakusanywa kwa kutumia EFD machines, kufanyia kazi baadhi ya mapendekezo ya reports za CAG; kuzuia wana siasa kukopa kwenye benki kuu nakadharika
Pia Magufuli anachukiwa na watu kutoka nje pia nao wanatokana na sababu zifuatazo
kwanza kwa kuzuia tuu usafirishaji wa mchanga wa makinikia share za ACACIA zimeshuka kwenye london stock exchange.......unadhani watampigia makofi kumpongeza
Pili kwa kuweka ukuta mererani na kudhibiti utoroshwaji wa Tanzanite kuna viwanda India vimefungwa maana havina malighafi ya Tanzanite
Tatu kwa kuwabomoa walanguzi wa korosho/ kuzuia fedha za export levy ambazo zilikuwa zinaishia kwa wanasiasa wachache/ kubana kangomba na kuzuia raw materials ya korosho kwenda nje kuna watu wengi walikuwa wakifaidia na sasa mirija imekatwa

Mkuu haya ni baadhi tuu.....ila kwa wenye akili nadhani 2020 ni Magufuli tuu.........Maana walizoea kula vya bure
 
Naunga mkono kufufua shirika letu la ndege lakini haya hapa chini ni uongo.

1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.

Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kwa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii.

Ni uongo pia kwa sababu , bei yake i ya kawaiada sana. Dreamliner 787 moja ni sawa na a200'-300 kama 3 hivi. Ethiopia wana dreamliner 787 kama 29 hivi.

Hivyo kusema hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua hizi ndege ni kujidanganya. Kujiona ni simba wakati kila mtu anakuona ni paka.

Tanzania kuwa ya kwanza africa ni sawa na kuwa wa kwanza kuingia chumba cha mtihani. Baada ya miezi michache kuna nchi Africa zitanunua ndege nyingi aina hii kupita tz. ( nyongeza), egypt imeweka order ya ndege 14.


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.

wakati mwingine sio waenda shule wote wanaelewa darasani,huyu mtu hajitambui.wapingaji wengi lakini ukweli utabakiwa kuwa hakuna afrika kuwa na ndege kama dreamliner.tunaangalia idadi na sio ukubwa.
 
Tabutupu tukiwa tunauliza hapa ni nani aliye ' temper ' na ' Education System ' ya Tanzania uwe unatuelewa. Kuna Watu wanadhani kuwa Watanzania wengi wa leo ni wale wale wa 1947 huku wakisahau kuwa huenda Watanzania wa sasa wengi Wao wakawa na akili nyingi kuliko hata Wao wachache wanaodanganyana huko Baharini.
 
Ww mwenyewe link yako inakupinga mkuu . Walicho andika hapa ni hiki.

"Speaking to al Ahram newspaper, Musallam said the first CS300 was due to arrive from Bombardier (BBA, Montréal Trudeau) between November 2018 and January 2019 while the first B787-9 is due from Boeing (BOE, Chicago O'Hare) in June 2019.

Egyptair has twelve firm and twelve optioned CS300s on order from Bombardier. The firm CSeries jets will deliver through 2020 while the optioned aircraft, if exercised, would be for delivery between 2020 and 2026. Collectively, they will replace EgyptAir Express's fleet of twelve E170s which are due to be phased out over the course of 2018 and 2019

. The firm CSeries jets will deliver through 2020 while the optioned aircraft, if exercised, would be for delivery between 2020 and 2026. Collectively, they will replace EgyptAir Express's fleet of twelve E170s which are due to be phased out over the course of 2018 and 2019"

Ukisoma kwa makini ninkwamba bado hazijawa delivered, walitarajia nov 2018 to jan 2019 lakin ratiba ikabadilika . ila wana tarajia delivery kufanyika between 2020 and 2026 instead of 2018 .. mwaka wa kudeliver umesogezwa mbele.

Unampokosa mwenzio kuhusu source yake.. na ww uje na ya kwako yenye uhakika. Source yako na wikipedia hazipingani, ningekushauri utembelee web page ya airbus upate taatifa kamili.
Egypt air bado hawaja receive Cs300 /A220-300. Bado order yao iko processed.
wenzio hatutumii WIKIPEDIA ku argue professionally mkuu. Umesoma wapi? Shule ya kata nin? Soma source zenye uhakika sio kuokota okota tuu google.
EgyptAir names early CS300, B787 delivery dates
 
Back
Top Bottom