Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,694
- 5,467
Mswahili msawahili na utakuwa mtu wa pwani. Wa bara haya hayako kwenye vichwa vyao. Ni msongamano wa watu, mabasi kidogo na watu mawazo hayaendi huko maana hapo mtu anachunga mifuko, kuangalia kituo atelemke....wewe unawaza hilo!. Wewe akili zako unazipeleka kwenye utamaduni wako, nisamehe kama umekwazika kwa jibu langu
Watu wa Pwani wamekukosea nini?Mswahili msawahili na utakuwa mtu wa pwani. Wa bara haya hayako kwenye vichwa vyao. Ni msongamano wa watu, mabasi kidogo na watu mawazo hayaendi huko maana hapo mtu anachunga mifuko, kuangalia kituo atelemke....wewe unawaza hilo!. Wewe akili zako unazipeleka kwenye utamaduni wako, nisamehe kama umekwazika kwa jibu langu