Ha ha ha niliishia la nne bHalafu kumbe mtu mwenyewe ni darasa la nne felia!
Si utarudi tu?
Nakuambia ntakupiga chenga kama za pele
hadi nihakikishe nimeazima vitu ndo nije
sound nyingi mara nipo airport waiting flight kumbe nipo ndani ya treni naenda tabora
Na hivi hata kazi hatuna basi ni kushinda JF tu!
Inawezekana hata hiyo sijui wozap siijui!
Ngoja ukute hata aliyosema ni fake pia!!!!!
sis sis ndo tunagombania daladala za mbagala kupitia madirishani.....
tunaaka tandale kwa mtogole...
tunafanya kazi kwa wahindi...
mahoteli mkubwa na sehem za maana tunazona kwa Macho na kwenye TV
Tanaulala kwa mama ntilie
tunavaa nguo za karume na mwenge...
tukija hapa tunjifanya wa kishua kimbia kwenye mtandao wizi mtupu
Mi naishi masaki wazazi wangu walihamia daslam kikazisis sis ndo tunagombania daladala za mbagala kupitia madirishani.....
tunaaka tandale kwa mtogole...
tunafanya kazi kwa wahindi...
mahoteli mkubwa na sehem za maana tunazona kwa Macho na kwenye TV
Tanaulala kwa mama ntilie
tunavaa nguo za karume na mwenge...
tukija hapa tunjifanya wa kishua kimbia kwenye mtandao wizi mtupu
sis sis ndo tunagombania daladala za mbagala kupitia madirishani.....
tunaaka tandale kwa mtogole...
tunafanya kazi kwa wahindi...
mahoteli mkubwa na sehem za maana tunazona kwa Macho na kwenye TV
Tanaulala kwa mama ntilie
tunavaa nguo za karume na mwenge...
tukija hapa tunjifanya wa kishua kimbia kwenye mtandao wizi mtupu
Oooh my god, jamaaani nikifika kabla sijaagiza huwa naogelea hapo kwenye hiyo swimming dress ooh sorry![]()
![]()
![]()
Hahahahaaaaaaaaa!!!!!!!!
Wozap ina kodi namba gani vile?