Hawa wanajeshi wa uokoaji walipe fidia kwa kuharibu hii hiace pale Katesh

Execute

JF-Expert Member
Sep 21, 2022
3,000
7,285
Kwanini wameamua kuharibu hii gari? Taarifa nilizonazo ni kwamba hiyo gari ilikuwa nzima kabisa na ilikuwa imepaki takribani mita 50 kutoka hapo iliponasa.

Yaani mtu kapata hasara ya injini halafu nyie mnakuja kumuongezea hasara ya bodi?

Kweli hii gari ingekuwa ya mwanajeshi au polisi wangeifanya hivi?



 
Kwanini wameamua kuharibu hii gari? Taarifa nilizonazo ni kwamba hiyo gari ilikuwa nzima kabisa na ilikuwa imepaki takribani mita 50 kutoka hapo iliponasa.

Yaani mtu kapata hasara ya injini halafu nyie mnakuja kumuongezea hasara ya bodi?

Kweli hii gari ingekuwa ya mwanajeshi au polisi wangeifanya hivi?


View attachment 2834898
Samahani sana mkuu, naomba kuuliza

Hv ww una akili timamu au ni mwendawazimu.?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom