Hawa wako wapi sasa?

brazameni, wengi tu hapa wanafahamiana, na wengi tu ni watoto wa DAR, ila kama jinsi tulivyo binadamu, wengine wakimya wengine waongeaji sana... hivyo kuna wengine wanayajua haya yote unayo ongelea humu na wanafahamiana na wale unaowataja, ila ndiyo hivyo tena, hayo ni yao na ndugu, jamaa au rafiki zao... siyo ya ku share na kila mmoja hapa ukumbini!

Baadae,

SteveD.


sawa lakini naamini asiliamia kuwa REV KISHOKA ataona tunaongea madudu maaana si unajua wale watu wa MELI na walidominate sana humu last two weeks sasa leo zamu yetu. Hiyo haiondoi ukwlei kuwa JF haijaaatract ma bitoz wengi bali imeattarct hawa waliokwenda jeshini na unajua tena bado wanayo ile haufu ya patriotism ambayo sie wengine tuliamka zamani kuwa hakuna cha patriotism wala nini ishu hapa ni pesa tuuu. In short watu wengi wanaopenda siasa wengi wao wanaharufu ya UD, na wachahce wa MZUMBE lakini sie wengine ni ma street wise dio maana wanakoma na sisi
 
Again, watu wasikuzuge kuongelea siasa hapa ukawaona siyo watu wa mjini.... ni progression tu watu wanafanya katika maisha yao, hivyo unaweza kukuta Mkjj ni mtoto wa mjini kupita... wewe mchokoze akutolee data zako.... he he.

SteveD.

mhhh sijui lakini kwa jinsi anavyoongea inaonekana alikuwa mjanja mnja huyu halaf si unajua wengine safari zao zilikuwa za kukamatiwa na hivyo hawakuhanithiwa na majitu kama akina aally mrisho au ule upuuzi wa kupelekana Tanga kwenye kambi za kujifunza kufunga kamba

we acha tuuu

anywa you never know lakini watakuja tuu hapa

ebwana hivi uliwahi kuwa member wa USIS katika miaka ya early 90's unajua tena amabo ya TV bongo ilikuwa bado huku Mohammed Farah Aideen alikuwa akipelekana puta na wanyamwezi kule somalia basi USIS walikuwa wanaonyesha 30 minutes video za CBS NEWS ...kama hupajui basi ni pale Tanganyika motors juu ...nadhani mwanakijiji atakuwa anapajua maana yule mwenezu ni mtu wa KLM!
 
he he he, umeniacha naumwa mbavu hapa brazameni... duuuh, eti jeshini Ruvu au Makutupora... miye nilikimbia hilo..niliepuka!!

SteveD.

Ahh hizo topic za jeshini zikianza mie huwa najisikia veryuncomfortable nikiwa na washikaji sasa matokeo yake huwa nina krem..jina la jeshi,kiongozi mwaka ule allikuwa nani nani yaani niwajue wawili watau...maswali yakinizidi huwa naongopa eti niliomba uhamisho nikapata Dar pale mlalakua ...surprisingly watu huwa wananiamini na saa zingine huwa nawabuly wale ambao hawakuenda jeshini as if mie nilienda

trust me figures nyingi za kule SIASA forums zinasound kama zilipitia huko Jeshini
 
Ahh hizo topic za jeshini zikianza mie huwa najisikia veryuncomfortable nikiwa na washikaji sasa matokeo yake huwa nina krem..jina la jeshi,kiongozi mwaka ule allikuwa nani nani yaani niwajue wawili watau...maswali yakinizidi huwa naongopa eti niliomba uhamisho nikapata Dar pale mlalakua ...surprisingly watu huwa wananiamini na saa zingine huwa nawabuly wale ambao hawakuenda jeshini as if mie nilienda

trust me figures nyingi za kule SIASA forums zinasound kama zilipitia huko Jeshini

..... :) at least you're honest, i can feel ya man! 'matter fact, kuhusu jeshini somethin similar huwa kinanitokea au huwa nakitenda pia... ila wewe naona una sophistication kiboko..duuh, hapo umenizidi kwa kweli... eti ku-krem majina ya afande.. ha ha ha ha, wewe brazameni kichaa kweli kweli... interesting!

SteveD.
 
ebwana hivi uliwahi kuwa member wa USIS katika miaka ya early 90's unajua tena amabo ya TV bongo ilikuwa bado huku Mohammed Farah Aideen alikuwa akipelekana puta na wanyamwezi kule somalia basi USIS walikuwa wanaonyesha 30 minutes video za CBS NEWS ...kama hupajui basi ni pale Tanganyika motors juu ...nadhani mwanakijiji atakuwa anapajua maana yule mwenezu ni mtu wa KLM!

Kuhusu, USIS nilienda mara moja tu kuchukua form za Toefl, mtihani wenyewe sikufanya...si unajua tena, wengine vibonde wa lugha za wenzetu bwanaa.. ila ilikuwa bomba tu kwenda kwenye hilo jengo la vioo tupu na kuonana na mademu wa mle kutoka shule mbali mbali bongo wakitafuta makaratasi ya kuruka viwanja...wakati ule hakukuwepo na jingine kama hilo, na lile la opposite maktaba sijui la mkubwa gani nasikia, lilikuwa bado halijajengwa..

SteveD.
 
Kuhusu, USIS nilienda mara moja tu kuchukua form za Toefl, mtihani wenyewe sikufanya...si unajua tena, wengine vibonde wa lugha za wenzetu bwanaa.. ila ilikuwa bomba tu kwenda kwenye hilo jengo la vioo tupu na kuonana na mademu wa mule kutoka shule mbali mbali bongo wakitafuta makaratasi ya kuruka viwanja...wakati ule hakukuwepo na jingine kama hilo, na lile la opposite maktaba sijui la mkubwa gani nasikia, lilikuwa bado halijajengwa..

SteveD.

Sasa unajua zamani walikuwa hawaruhusu O'LEVELS kuingia achilia mbali kupewa membershio basi mie nilikuwa napozi kama Alevel halafu su unajua sie hayo mamabo ya lugha tuliyapigia denge zamaaani.Hivyo dept ya YAYI tulishaliweka sawa

sasa talk about mambo ya kua aplpy ma College na ma Uni unajua niliwahi kuwa na I-20 halafu sukuombea visa hata moja

matokeo yake tunaanza kuwafanyia usanii akina Mtungwa kwa kijuidai kuwa sposnor kapata ajali na ni unconcious sasa kilichobaki ni kumpa scholarship tuu

we acha tuu
 
Oyaaa vipi machizi wangu? Nyie lazima tutakuwa tunajuana humu ndani. Kama mlikuwa watu wa food evening, beach party, la dolce vita, mambo club, don bosco, shebby robby....mmenikumbusha mabli kweli
 
nimekula sana pale ujenzi enzi hizo nilikuwa najaribu kupata tenda ya hayo ma PABX hapo TRITEL na ATC...mhh lakini si unajua kama kula Ujenzi ilikuwa ni upgrade ya maana sana.Rama nilimjulia katika mamabo hayo ya ma simu simu. Cafeteria ya kule IFM ilikuwa si bomba sana na palikuwa panaudhi zile foleni zake

Sasa wenzio baadae tulipata jamaa alikuwa meneja New Africa na matokeo yake tukawa tunaingia New Africa kupata misosi na wazungu bila kulipa. Ebwana wewe ulikuwa unanunua Petroli? sie wengine tulikuwa hatununui na mpaka leo kama washikaji wakienda bongo huwa hatununui petroli kwa sababu kule kilwa road kuna sehemu tunatia mafuta full tank karibu na bure ukitaka details kama una mtu anashuka bongo basi nitumie PM

ebwana vipi USWAZI (uSWAHILINI) MITAA YAKO ILIKUWA IPI? maana mie vijiwe vyangu vilikuwa kuanzia Ilala magorofani, Temeke stereo, temeke changombe,Buguruni,magomeni,sinza kwa remi kote huko mie nilikuwa na maskani zangu za kumwaga tuuu

Lakini maskani yangu ya Ilala flats ilikuwa bomba ile kinoma...hery mie ni kama braza wangu vile yaani we acha tuuu


naona NYANI NGABU,USHIROMBO,GREEN 29, na IDIMI wanashanga shangaa tuuu...hawa itakuwa katika waleee tuliokuwa tunazungumzia mwanzo
 
Oyaaa Brazameni mi mtoto wa mjini wewe....ukitaka mambo uswazi mi anga zangu zilikuwa Sinza abajalo, Magomeni kwa macheni, mwenge stendi ya basi, Savei kontena, mlalakuwa ndani ndani kwenye klabu za wanzuki
 
Oyaaa Brazameni mi mtoto wa mjini wewe....ukitaka mambo uswazi mi anga zangu zilikuwa Sinza abajalo, Magomeni kwa macheni, mwenge stendi ya basi, Savei kontena, mlalakuwa ndani ndani kwenye klabu za wanzuki

Wewe Nyani, wanzuki ulikuwa unakunywa kweli au mikwala tuuu...lol

SteveD.
 
Nyie Masela niliwahi kuwa uliza nani anamfahamu Fillipino... wa karibu na train station?... alikuwa na kiosk chake pale na bidhaa nyingi mle ndani zilikuwa zile za 'madili'... kama mnamfahamu, yuko wapi hivi sasa tafadhali nijulisheni..

SteveD.
 
Mie anga zangu zilikuwa Ilala flats, Kariakoo, Msasani, Migomigo...lakini muda mwingi nilikuwa boarding school mikoani( moro na arusha). Ilala flats pale kuna chizi mmoja anaitwa Nadi sijui unamjua?? Martin Kinguruwe, wakina MT na mob nyingine karibu yupo ipo reading!!!!. Mie nilikuwa na mix, mtaani kwa sana wakti wa likizo za zile break za kumaliza shule, lakini kwa ujumla nilikuwa joni kisomo!!.
Nilikuwa Visa ya Mnyamwezi Jo'burg,SA, wakti wa bomu la Osama!!!.
Nitaku-PM siku nikiwa natia timu kwa "wajameni" kuhusu hilo dili la petroli.

Aaah kumbe we kiwanja umeingia karibuni tu..
 
NN na Steve,
Sawa bwana, sio mabomu ya 9/11.......hiyo ni mabomu ya 1998 Dar na Nairobi, kukawa hakuna visa dar....watu ikawa inabidi waende Kampala, Lusaka, na washkaji wengine waliingia UK kwa gia ya Visa.
Sasa kama 1998 ni juzi na ni "9/11 aftermath" basi juzijuzi haina maana tena!!!!!.
Hamna noma wala nini masela wangu, nimekuelewa...

Na kuhusu mabasi ya mashirika ya umma kwa ajili ya madenti vipi mnayakumbuka, kupandia pale Jangwani, pia kulikuwa na stop over sehemu kadhaa, yakifika Forodhani yamesha jaa, watoto soft wa Forodhani walikuwa hawawezi kuning'inia milangoni.. ... daah, ilikuwa vurugu kichizi... wengine tulikuwa tunazuga tu... kuvizia form 2 wa zanaki, maana ngamia walikuwa wanapenda wasongo toka Azania...
 
zangu zilikuwa ilala kotaz......jioni lazima mazee nitie timu jangwani kupiga tizi....baadaye nikahamia zangu sinza uzuri nikajiunga na Abajalo....mazee nilikipiga sana pale na safari buti zangu (Bora made) mazoezini

nayakati fulani za weekend nilikuwa nazuka kuangalia ngoma za kimakonde kule msasani (zilikuwepo kila jpili).....baadaye jioni nilikuwa najiunga pale nje ya Drive-Inn na washikaji tunapiga mihogo yetu ya kuchoma na pilipili huku tukicheck sinema bubu........wakati huo Julius Nyaisanga anatuburudisha na "Ring my Bell" izaa ya biashara RTD

eee bwana Nyani naikumbuka sana Mande Guest House.....................duuh mshikaji umenikumbusha mbali sana
 
....

nayakati fulani za weekend nilikuwa nazuka kuangalia ngoma za kimakonde kule msasani (zilikuwepo kila jpili).....baadaye jioni nilikuwa najiunga pale nje ya Drive-Inn na washikaji tunapiga mihogo yetu ya kuchoma na pilipili huku tukicheck sinema bubu........wakati huo Julius Nyaisanga anatuburudisha na "Ring my Bell" izaa ya biashara RTD

eee bwana Nyani naikumbuka sana Mande Guest House.....................duuh mshikaji umenikumbusha mbali sana

Duuuh, Ogah, memory lane kali sana hiyoooo mjomba! driving cinema mshirika tena, usiseme.. ticket mbu tu.. zilikuwa zangu hizo, kunajamaa alikuwa anajua timetable ya movie kwa wiki nzima.. mihogo ya pale na chachandu ndiyo hivyo tena, na kule chini yake wakajenga baa fulani hivi...watu tulikuwa tunajitosa tu mle kwa moja mbili moto..

Uwanja wa magunia vipi masela,uliishia vipi huu?
 
Ktk ulowataja, Dela soul yupo NYC ana mke mtasha, Sindila yupo Cincinati, OH....Jump Around yupo Columbus, Rhymson mara ya mwisho kumwona ilikuwa Bongo safarini Canada, Y-thang nilimwacha Muhimbili akiwa mwaka wa nne, nadhani ni doctor somewhere...............................baadhi ya wengine nasikia mateja, waliovuta haya, lakini life goes on!!.

duu kolumba mwingira..mzee wa OILERS..maskani mikocheni ..TPDC..KUNA kipindi ali join pale muhimbili kusomea pharmacy..alikaa miezi sita tu ..mzee akaenda marekani..

mnawakumbuka LWP[LIVE WITH PURPOSE ]na concert zao pale ukumbi wa korea ..kipindi hicho 2 proud mshamba tu ndio anaingia kuitoka mbeya na raba zake za dh..du ila jamaa alikuwa commercial kichizi ..wakati wenzake wanapiga buru ..yeye alikuwa adaki mike hadi wamdakishe...

tery ..fanani..alioa halafu badaye akawa teja wa nguvu ile buuu..karibuni amere cover ..na alikuwa ana mpango wa kwenda canada..sijui amefikia wapi au kama tayari yupo canada..ila anamlaumu sana prof ..j kwa kuwamwaga ..hasa wanapooongelea kutoa album kama hard b..jamaa anangangania achukue pesa karibu yote..ndio wanashindwana..badala angalau angewavuta wenzake...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom