unajua inatisha sana; kwa sababu inaonekana hakuna mtu kwenye hii serikali ya magenius wetu anayefikiria kuwa yawezekana huyo kijana ni victim of foul play vile vile. Wakati huo huo huyo anayeshikiliwa inawezekana anapewa "enhanced interrogations techniques" ili kumfanya aseme Mabakuri anatoka wapi, na anaishi wapi na kama alikuwa na mawasiliano naye siku ya tukio.
Tayari tunajua the crime area was contaminated by Daraja and his driver and probably police kwani walipofika tu waliambiwa "mtumishi wa nyumbani hayupo".. and the story was carried verbatim..
Ukifikiria tu kua Daraja alifanya njama ya kumuua mama na huyo kijana, ila akaamua kuficha maiti ya kijana, utaona Daraja ni suspect numbari wani. Suspect numbari wani ktk kesi kama hii lazima awe mume kwanza, na huyo ndio angekua anapewa kash kash kwa sasa hivi ambapo Polisi hawana pa kuanzia.