Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Polisi wetu wana changamoto nyingi sana maana inakuwa shida sana katika kujua au kutafiti kosa, leo watu kama hawa wanakamatwa kabila nzima na je vipi watuhumiwa wengine wa ufisadi walifanya makosa na hasira kwa taifa letu