Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,763
- 284,782
wanaCHADEMA wanaoweweseka na Uteuzi Wa Mgimwa - Kalenga, na Ridhiwani - Chalinze.
Msitoe Kibanzi macho ya wenzenu ya kwenu yangali na Kibanzi.....
Ubunge Wa kupeana umeanzia Kwenu
1. Tundu Lissu, Dada yake Christina Lissu.
2. Philemon Ndesamburo mtoto wake Wa kumzaa Lucy Philemon Ndesamburo Owenya - hili owenya ni jina la mume wake. Dkt Owenya
3. Grace Sintato Kiwelu Philen Ndesamburo- ni mkwe Wa Philemon Ndesamburo aliyeolewa na Sindato Kiwelu, mtoto Wa Philemon Ndesamburo na kaka Wa Lucy Owenya.
4. Sabrina Sungura - Ni mchumba/ Kimada Wa Anthony Komu, Mkurugenzi Wa Fedha na Utawala Wa Chadema.
5. Joyce Mukya - Ni mke Wa kisheria Wa Freeman Mbowe. Kumbuka sheria zinasema ukikaa na mwanamke kwa miezi inayozidi sita unahesabika kuwa umeoa. Mbowe na Joyce Mukya wameishi pamoja mwaka Wa nne sasa na mtoto wamezaa.
6. Rose Kamili Sukum - ni mke halali Wa ndoa Wa katibu mkuu Wa Chadema Dr. Slaa
POST ya KIJINGA KABISA !