nini tena
kiwatengu, juzi umenipa kipigo hadi nikazirai na ukanihurumia mwenyewe na kunipa tiba sasa na leo unakuja tena, nini bhana why me always?????? jamani hv mm sina haki ya kuishi huku CC, sasa unataka kunipiga tena? aaarrrrgggggg! bora
mimisa tu angepokea moyo wangu najua haya mateso ya kufukuzwa na mgambo wa CC yasingekuwepo kabisaaa!