Ok!
ila shemu kubwa nilikuwa najua masikhara ndio maana nilikuwa nadondosha moyo tu kwa kila apitaye! kumbe ipo serious to some extent!
wasiwasi!
naweza kupata mchumba seroius huku halafu siku tukizinguana anaweza kusema, aaaaah usinizingue babu wee kwanza tulikutana chit chat tuachane ki-chit chat! hapo sasa kazi inakuwa kubwa sana!
hahahhahah!!!!!!!!!!!!!watajibeba mwaka huu.................wenye vijino pembe wameze sumuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!fainali Heaven on earth amenikubalia....bebii nitakupenda kwa moyo wangu wote, kwa nguvu zangu zote na kwa akili zangu zote.
yours in love Eli79
C'mon! i know i can't afford u but at least one night...i'll live to remember the best moments with ya' tafwazali
hujiamini kabsaaaaa wewe!
Eli79 jamani hata la kusema silioni tena......fainali Heaven on earth amenikubalia....bebii nitakupenda kwa moyo wangu wote, kwa nguvu zangu zote na kwa akili zangu zote.
yours in love Eli79
karibu sna mpenzi wetu, kaka zangu wanajua kuoa tu hawajui kuacha.
na sheria ya nyumba yetu ugomvi gombaneni nyie sisi mtuletee shangwe tuuuuuuu
hahahhahah!!!!!!!!!!!!!watajibeba mwaka huu.................wenye vijino pembe wameze sumuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kakak huyooooooooooooo kavuta bongeeeeeeeeeeeeeee la mchumaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
wa wawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
fainali Heaven on earth amenikubalia....bebii nitakupenda kwa moyo wangu wote, kwa nguvu zangu zote na kwa akili zangu zote.
yours in love Eli79
Ofcourse MONEY IS THE BIGGEST ISSUE ila money aside you still dont qualify!
1. I could give u a 1 night stand, its not an issue to me but i wont simply because i detect some longing in ya writing! Hence risk ya kuniganda kama luba ni kubwa!
2. Your too young to swim these waters! I gues ill be talkin to ya papitos we nenda kacheze na wenzio eeeh mtoto mzuriiii!
Ayaaaaaaaaaaaaaa polepole naanza kuona wivu, sasa sijui hatima yake nini! nisaidie!sasa je???
nakupendaje sasa??
karibu sana mahabuba wa mdogo wangu, furaha ya mdogo wangu, usingizi wa mdogo wangu, sabuni ya mdogo wangu,
waridi la moyo wa mdogo wangu, liwazo la mdogo wangu.
haahaha!
DO NOT READ THE BIBLE ''FROM RIGHT TO LEFT'' THINKING IT'S QUR-AN YOUNG LADY!
just try me and you will never regret!