Hawa ndio wageni wa CC!


hujiamini kabsaaaaa wewe!
 
fainali Heaven on earth amenikubalia....bebii nitakupenda kwa moyo wangu wote, kwa nguvu zangu zote na kwa akili zangu zote.
yours in love Eli79
hahahhahah!!!!!!!!!!!!!watajibeba mwaka huu.................wenye vijino pembe wameze sumuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

kakak huyooooooooooooo kavuta bongeeeeeeeeeeeeeee la mchumaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

wa wawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
C'mon! i know i can't afford u but at least one night...i'll live to remember the best moments with ya' tafwazali

Ofcourse MONEY IS THE BIGGEST ISSUE ila money aside you still dont qualify!

1. I could give u a 1 night stand, its not an issue to me but i wont simply because i detect some longing in ya writing! Hence risk ya kuniganda kama luba ni kubwa!

2. Your too young to swim these waters! I gues ill be talkin to ya papitos we nenda kacheze na wenzio eeeh mtoto mzuriiii!
 
Ukweli upo! umewahi kusikia wezi wa kalamu? basi ndivyo nilivyofanya kisa na mkasa moyo wangu ulikuwa unadondoka, nikaona the best short cut ni kalumanzira, hata hivyo sikufanikiwa nilikamatwa na kiwatengu!

mkuu mbona nilikupa m'badala mapema sana? anyway unamfahamu Arabela?
 
Last edited by a moderator:
karibu sna mpenzi wetu, kaka zangu wanajua kuoa tu hawajui kuacha.
na sheria ya nyumba yetu ugomvi gombaneni nyie sisi mtuletee shangwe tuuuuuuu

my wii gfsonwin mie kiroho swafi

ugomvi ndani tutamalizana wenyewe chumbani
 
Last edited by a moderator:

hahaa ijumaa ya leo mbona raha sana.....
Baba V tutahitaji faili letu ulishughulikie haraka sana!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

haahaha!
DO NOT READ THE BIBLE ''FROM RIGHT TO LEFT'' THINKING IT'S QUR-AN YOUNG LADY!
just try me and you will never regret!
 
sasa je???
nakupendaje sasa??
karibu sana mahabuba wa mdogo wangu, furaha ya mdogo wangu, usingizi wa mdogo wangu, sabuni ya mdogo wangu,
waridi la moyo wa mdogo wangu, liwazo la mdogo wangu.
Ayaaaaaaaaaaaaaa polepole naanza kuona wivu, sasa sijui hatima yake nini! nisaidie!
 
haahaha!
DO NOT READ THE BIBLE ''FROM RIGHT TO LEFT'' THINKING IT'S QUR-AN YOUNG LADY!
just try me and you will never regret!

mdogo wangu wewe ya nini kuijaribu sumu kwa kuionja?
kesha sema yeye maji ya moto tafuta ya baridi wangu usije ukakoboka mwili ukanililia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…