Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
Eli79 mtoto wa kiume, unaingia mtegoni kwa maneno haya hapa!
Kwanza Eli79 tafuta comments za mtu anaitwa figganigga, hata hivyo huyu Kaizer shemejio anaweza kuwa hamfahamu sana!
Utajibeba ziz ia!
wapi mimisa!
ukweli gani tena shem kiwatengu
Naomba kuanzishiwa mchakato, nipo tayari!
wewe naona una lako jambo...
ni hiyo hela unayodai au kuna lingine...
good! wacha niane kuandaa makabrasha basi afu ntakurudia!
Heaven on earth naomba hapa nikutajie madada kwenye ukoo wetu
wadada hatujazaliwa wengi manake niko mimi peke yangu wa kike ila tu nina dada kwa baba mkubwa ni Paloma na dada kwa baba mdogo ni Madame B.
lakini nina shemeji yako Kaizer na mke mwenzangu ni dada mkubwa AshaDii
waache wanazidi kuchonga tu hawa!
huyu TheDealer ana lake jambo ila hatupati bibie! alichokiunganisha Mungu .....
hela nadai, lakini pia kwann ulimalizana na UNDENIABLE na kiasi chake figganigga?????
jibu hapa, Eli79 aone!
Eli79 mtoto wa kiume, unaingia mtegoni kwa maneno haya hapa!
Kwanza Eli79 tafuta comments za mtu anaitwa figganigga, hata hivyo huyu Kaizer shemejio anaweza kuwa hamfahamu sana!
Utajibeba ziz ia!
wapi mimisa!
dada, uko pouwer?!??! usione kimya tulikuwa tunaengeneza kizygote na shemeji yako sosoliso.......
marhabaaaaa wifi yangu...........lol! yani mpaka ujue kuw amie ni wii wako ndo uniamkie!!! haya marhabaaa ya jana na leo Heaven on earth
we we we! ngoja nimuite Lady doctor afanye ile shughuli yake, naona kipindi kile hakukupitia
huyo TheDealer anabahati sana nimeolewa, ile kasi ya kuwakagua imepungua la sivyo angekuwa anachechemea sasa.... Ngoja niombe vifaa kwa dismynder1 nitarudi baadae