Hawa mbwa siwaelewi kabisaaaa

Hawa mbwa siwaelewi kabisaaaa

Hao mbwa watimue tu. Wanakera sana hao jamaa sanasana wakianza kugegedana. Uje uwamwagie maji ya moto siku moja uone kama watarudi tena.
 
Charminglady naamini ukipunguza tu ucharming wataondoka wenyewe, wanapenda kuja kwako sababu wanapenda ucharming wako.

Aiseee... Umesema kweli mkuu, yaan huwa nawafukuza shhhshssssss wanaenda kisha wanarudi.

Hebu ngoja nijaribu ukauzu, labda ninunue manati ili niwe nawalenga et eeeh...
 
Aiseee... Umesema kweli mkuu, yaan huwa nawafukuza shhhshssssss wanaenda kisha wanarudi.

Hebu ngoja nijaribu ukauzu, labda ninunue manati ili niwe nawalenga et eeeh...

Kule kwa wenzetu hao mbwa wangeshapata watu wa kuwa-adopt! Lakini huku kwetu, riziki ya hao mbwa iko miguuni mwao!
 
Habari wanajamvi,

Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu

Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu.

Kinachonishangaza hawaendi nyumba za jirani ni kwangu tu, huwa wanazunguka zunguka usiku kama kuna kitu watabweka kama hakuna wanalala tu usiku kucha, asubuhi wanaondoka. Ikifika mida ya saa 1 jioni wanaanza kuja.

Nikiwafukuza wataondoka lakini baada ya muda watarudi.

Hebu nisaidieni njia ya kuwaondoa

Wenu

CL
nji ya kuwaondoa rahis tafuta elfu tatu mia tatu nunua mapaja mawili ya kuku yakate kate paka ile ya panya wape
 
ina maanisha una nyota nzuri...wapo hapo kukulinda..siku mojamoja wape chakula badala ya kuwafukuza na kuwapiga!

Mbwa nao ni wanyama,wana haki ya kupendwa na kupewa Chakula..

Wapende hao mbwa..Mungu atakubariki kwa namna fulani huwezi jua ndugu!! Show love usiwadhuru kamwe
 
Kumbe asubuhi wanaondoka? Acha hao mbwa usiku ni walinzi wako siku ukiwaua siku hiyo utatekwa na kuibiwa. Waache chakula kikibaki wewe wape.

Mkuu mbwa wako 11 sisi hapa home tuko watatu.. Chakula kinachobaki ni kidogo sana ama kisibaki kabisaaa...

Hiyo kuwapa chakula naona haiwezekani...
 
Habari wanajamvi,

Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu

Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu.

Kinachonishangaza hawaendi nyumba za jirani ni kwangu tu, huwa wanazunguka zunguka usiku kama kuna kitu watabweka kama hakuna wanalala tu usiku kucha, asubuhi wanaondoka. Ikifika mida ya saa 1 jioni wanaanza kuja.

Nikiwafukuza wataondoka lakini baada ya muda watarudi.

Hebu nisaidieni njia ya kuwaondoa

Wenu

CL
Mkuu una bahati sana.
Mbwa ni rafiki wa binadamu na hapo watekaji na majambazi mwiko kufika.

Jidduzz
 
Napenda mbwa kuliko mnyama yeyote. Kuna mda huwa nawaona kama ni binadamu wenzangu. Natamani hao waje home kwangu. Kusiwepo tu na jike maana hawana aibu siku zao zikifika wanagegedana popote pale
 
Aiseee... Umesema kweli mkuu, yaan huwa nawafukuza shhhshssssss wanaenda kisha wanarudi.

Hebu ngoja nijaribu ukauzu, labda ninunue manati ili niwe nawalenga et eeeh...
Hahahahahahaa hapana bana ukauzu sio asili yako you are just unique the way you are.
 
Kama wanakulinda bure na huwalipi, kwa nini usioneshe shukrani?
 
Ni
Napenda mbwa kuliko mnyama yeyote. Kuna mda huwa nawaona kama ni binadamu wenzangu. Natamani hao waje home kwangu. Kusiwepo tu na jike maana hawana aibu siku zao zikifika wanagegedana popote pale
Nini maana ya kugegedana? Mkuu
 
Katoe taarifa kwa mwenyekiti wa mtaa.
hahahahah, Mwanamayu, mimi pia nina kesi kama ya charminglady, siku hiyo kukawa na mkutano wa mtaa, ilipofika agenda ya mengineyo, nikanyoosha mkono nikaruhusiwa, nikatoa hoja kuwa kuna mbwa wanazurura ovyo na pia kwangu nina kero kuna mbwa wengi wanalala hapo kwangu: sikiliza jibu nililopewa na mheshimiwa mwenyekiti wa mtaa:

MJUMBE KWA MAELEZO YAKO NA MALALAMIKO NAOMBA UELEWE KUWA MBWA HAWAWEZI KUNG'ANG'ANIA KULALA KWAKO BURE, HAPO KWAKO YAELEKEA KUNA NEEMA, WANAPATA MAKOMBO WANASHIBA....:

Yaani kwa jibu hili nilichukia lakini sikuwa na namna tena, si unajua tena mkutano wa "nzengo"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom