Mukundumbusya
Senior Member
- Aug 11, 2016
- 168
- 143
Waache tu wakulinde. Mbwa ni mlinzi mzuri kuliko binadamu mwenye bunduki, unachotakiwa kujua n mibweko yake tu.
Hahahaaaaaaa
Hiyo ndo tabia ya mbwa, ingekuwa paka au ng'ombe au hata nguruwe wasingefanya hivyo. Inawezekana kuna chochote wanapata hapo kwako, mfano mabaki ya chakula, na wewe unacheka nao pasipo hata kuwatupia jiwe.
vumilia, mbwa ni rafiki si wabaya.
View attachment 493082


cats thoughIla hao mbwa wakoje?ni wale wachafu chafu wenye vidonda masikioni hadi wanaleta nzi? Kama sio type hiyo waache tu hao walinzi.....
Mi hapa Kwangu kajisogeza paka yani sipendi sasa Kazaa na kuzaa ndo nmechoka inabidi tu sasa niwape msosi.... Yani watoto wakikua nitakavowatimua kwa maji ya moto hawataamini
Mi siwafugi, ila huwabebea mabaki ya Chakula kila nipatapo nafasi. Mida ya saa sita hivi, huwawekea mabaki hayo nje. Basi ishakuwa ni tabia yao, usiku huwa hapo kwangu kibao. asubuhi wanaondoka. Napata japo kaulinzi kimtindo.Habari wanajamvi,
Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu
Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu.
Kinachonishangaza hawaendi nyumba za jirani ni kwangu tu, huwa wanazunguka zunguka usiku kama kuna kitu watabweka kama hakuna wanalala tu usiku kucha, asubuhi wanaondoka. Ikifika mida ya saa 1 jioni wanaanza kuja.
Nikiwafukuza wataondoka lakini baada ya muda watarudi.
Hebu nisaidieni njia ya kuwaondoa
Wenu
CL
Jikabidhishe kabisa kumbe wasafi.....Shostito... Hawa mbwa ni wazuru ndio maana nashindwa hata kuwapiga manati.
Wana miili mizuri kama vile wanatunzwa mahali. Ngoja nitegee tegee wakijipitisha niwapige picha
Kama hawakudhuru waache, ni walinzi wazuri. Kila jambo lina wakati wake. Utashangaa baada ya kuwaondoa unapata balaa la ajabu, ukakosa tafsiri.Habari wanajamvi,
Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu
Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu.
Kinachonishangaza hawaendi nyumba za jirani ni kwangu tu, huwa wanazunguka zunguka usiku kama kuna kitu watabweka kama hakuna wanalala tu usiku kucha, asubuhi wanaondoka. Ikifika mida ya saa 1 jioni wanaanza kuja.
Nikiwafukuza wataondoka lakini baada ya muda watarudi.
Hebu nisaidieni njia ya kuwaondoa
Wenu
CL