CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,999
- Thread starter
- #101
RAHCO wamepitisha BOMOA BOMOA, supermarket yako haipo tena.
Iko mita 700 toka relini
RAHCO wamepitisha BOMOA BOMOA, supermarket yako haipo tena.
Naomba tukawauze Iringa si unajua pasaka tenaPanda gari hapo stand kisha shuka kituo kinachoitwa supermarket...
Dada mzuri mambo?Kumbe asubuhi wanaondoka? Acha hao mbwa usiku ni walinzi wako siku ukiwaua siku hiyo utatekwa na kuibiwa. Waache chakula kikibaki wewe wape.
Unaniharibia dealNaomba tukawauze Iringa si unajua pasaka tena
Mi nachojua mbwa na Mchawi hawapatani sasa jitathmini upya.Habari wanajamvi,
Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu
Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu.
Kinachonishangaza hawaendi nyumba za jirani ni kwangu tu, huwa wanazunguka zunguka usiku kama kuna kitu watabweka kama hakuna wanalala tu usiku kucha, asubuhi wanaondoka. Ikifika mida ya saa 1 jioni wanaanza kuja.
Nikiwafukuza wataondoka lakini baada ya muda watarudi.
Hebu nisaidieni njia ya kuwaondoa
Wenu
CL
Naomba tukawauze Iringa si unajua pasaka tena
Mmmh inamaana yule jiran yko lile kabila wanapnda kujinyonga ameshahama?Habari wanajamvi,
Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu
Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu.
Kinachonishangaza hawaendi nyumba za jirani ni kwangu tu, huwa wanazunguka zunguka usiku kama kuna kitu watabweka kama hakuna wanalala tu usiku kucha, asubuhi wanaondoka. Ikifika mida ya saa 1 jioni wanaanza kuja.
Nikiwafukuza wataondoka lakini baada ya muda watarudi.
Hebu nisaidieni njia ya kuwaondoa
Wenu
CL
KkcnKwako wapi mkuu?
Hutaki ulinzi wa bure mkuu, maana kutekwa siku izi nje nje.
Kama wanakukera sana, nunua nyama, rosti vizuri kama unampikia mumeo aliyetoka safari, then weka pakiti kadhaa za red cat kwenye hiyo nyama, wawekee wale, wewe ingia ndani chapa usingizi, hakika baada ya siku mbili hutowaona tena.
NB. Imeandikwa USIUE.
Waache wa exercise uhuru wao wa kikatiba.
pouwaaaDada mzuri mambo?
Acheni kunya nyuma ya nyumba, wataondoka woteHabari wanajamvi,
Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu
Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu.
Kinachonishangaza hawaendi nyumba za jirani ni kwangu tu, huwa wanazunguka zunguka usiku kama kuna kitu watabweka kama hakuna wanalala tu usiku kucha, asubuhi wanaondoka. Ikifika mida ya saa 1 jioni wanaanza kuja.
Nikiwafukuza wataondoka lakini baada ya muda watarudi.
Hebu nisaidieni njia ya kuwaondoa
Wenu
CL
Ongea nao taratibu tu watakuelewa . hawana tabu hao.Habari wanajamvi,
Hapa kwangu huwa sifugi mbwa wala mfugo wowote, sasa basi walianza mbwa na mama yake wakawa wanalala mbele ya nyumba yangu
Kadri siku zinavyoendelea wanaongezeka, mpaka sasa ninavyoandika wamefika mbwa 11. Wamajilaza tu mbele ya nyumba yangu.
Kinachonishangaza hawaendi nyumba za jirani ni kwangu tu, huwa wanazunguka zunguka usiku kama kuna kitu watabweka kama hakuna wanalala tu usiku kucha, asubuhi wanaondoka. Ikifika mida ya saa 1 jioni wanaanza kuja.
Nikiwafukuza wataondoka lakini baada ya muda watarudi.
Hebu nisaidieni njia ya kuwaondoa
Wenu
CL
ahaaa ndo hivyo tenaHaka ka story kamenivutia sana japo kanasikitisha sana,Duuh!!R.I.P Sebeya.
Ila hao mbwa wakoje?ni wale wachafu chafu wenye vidonda masikioni hadi wanaleta nzi? Kama sio type hiyo waache tu hao walinzi.....Hapo umenena, sasa fanya mpango wa usafiri