Wakabambee58
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 930
- 1,289
Na wewe ahhh, yake au aliyotembeza bakuli JF?Wamelamba milioni ya Pasco. Dah bongo nyoso...
Na wewe ahhh, yake au aliyotembeza bakuli JF?Wamelamba milioni ya Pasco. Dah bongo nyoso...
Wengi hapo sijuwi kama wataweza debate na wakenya, rwanda, gandas
Ova
KwakweliNi wakati sasa kwa ndugu yetu Pascal Mayalla kukubali kwamba, CCM ina wenyewe! Na yeye si mmoja wao.
Bora ya mimi nakiri hadharani sikumchangia hata 100! Ingawa ni mmoja ya watu wachache ninao wakubali sana humu jukwaani! Maana nilijua tu anaenda kuipiga kibiriti hiyo hela.Na wewe ahhh, yake au aliyotembeza bakuli JF?
Hivi yule Quine mlozi aliondokaje UWT nahisi huyu ni mwanaeMLOZI kikwetu ni.........
Yap mama yake ni Queen Mlozi alikuwa katibu mkuu wa UWT na former DC baba yake ni prof Mlozi wa SUAHuyo unayemsema ni CEO wa National College of Tourismna pia ni Lecturer wa mambo ya Tourism and marketing management OUT anaitwa Shogo Mlozo Seyodeka amechaguliwa amepita wangemuacha kila mtu angeshangaa.
Huyu Angela Kizigha ni mtu legend huko CCM toka enzi za Nape katibu muenezi akamkata jina akamuweka mkwe wake. Nadhani inabidi apumzike sasa mama Kizigha maana kama ni pesa anayo ya kutosha.
Mama tozo alimtoa akamuweka mtu wake yeye aliwekwa na marehemu jiweHivi yule Quine mlozi aliondokaje UWT nahisi huyu ni mwanae
Mbona Wakili Msomi na Mwandishi wa Habari Mwandamizi na muomba Michango JamiiForums nzima ambaye Moyoni ni CHADEMA, ila Usoni ni mwana CCM hujamuweka katika List yako wakati nae yuko?View attachment 2364755
- Ndg. Angela Charles Kizigha
- Ndg. Nadra Juma Mohamed
- Dkt. Shogo Richard Mlozi
- Dkt. Abdullah Hasnu Makame
- Ndg. Machano Ali Machano
- Ndg. Mashaka Halfan Ngole
- Ndg. Ansar Abubakar Kachwamba
- Ndg. James Kinyasi Millya
- Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe
Huyo mweupe kabisa ,kapewa ulaji tungumu sana. angella kizigha kilaza wa kutupwa huyo sema nnya yambebe yahee
Watajiwakilisha wao tu hukoHongera zao na wakatuwakilishe vizuri huko waendako
Watajiwakilisha wao tu huko
Hao wote waliyochaguliwa,hawana uwezo w kusimama na kujadiliana
Mambo kadhaa na wakenya au warwanda na waganda
Ova
aione Pascal MayallaView attachment 2364755
- Ndg. Angela Charles Kizigha
- Ndg. Nadra Juma Mohamed
- Dkt. Shogo Richard Mlozi
- Dkt. Abdullah Hasnu Makame
- Ndg. Machano Ali Machano
- Ndg. Mashaka Halfan Ngole
- Ndg. Ansar Abubakar Kachwamba
- Ndg. James Kinyasi Millya
- Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe
popo-MaMbona Wakili Msomi na Mwandishi wa Habari Mwandamizi na muomba Michango JamiiForums nzima ambaye Moyoni ni CHADEMA, ila Usoni ni mwana CCM hujamuweka katika List yako wakati nae yuko?
Mbona bado mmoja si wanatakiwa kumi au?
Shetani hana RafikiYaani CCM na wingi wao wameshindwa kumpa Addo Shaibu Katibu mkuu wa CHAMA mshirika wao ACT?
Kweli CCM haina urafiki hata kidogo na hili lazima liwe fundisho kwa mzee wa Ngogwe Zitto kuwa tamaa mbele mauti nyuma.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Yupo kutoka CUFNafikiri kuna wa upinzani hapo kama hakuna atatafutwa baadae
Mwenzio bado anaamini cheo cha baba yake kitambeba , kama alivybebwa mtoto wa PindaNi wakati sasa kwa ndugu yetu Pascal Mayalla kukubali kwamba, CCM ina wenyewe! Na yeye si mmoja wao.
@Zitto hawezi kujifunza, muhimu yeye ni mambo safi kupitia ccmYaani CCM na wingi wao wameshindwa kumpa Addo Shaibu Katibu mkuu wa CHAMA mshirika wao ACT?
Kweli CCM haina urafiki hata kidogo na hili lazima liwe fundisho kwa mzee wa Ngogwe Zitto kuwa tamaa mbele mauti nyuma.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app