Hatma ya Freeman Mbowe CHADEMA

Hatma ya Freeman Mbowe CHADEMA

Punguza mihemko kamanda, mbona hamtaki kuhojiwa nyie? Mnapenda kuwahoji CCM tu,kwani nyie mna kadi za CCM?

Tuna National ID, tunahoji mambo ya kitaifa siyo upuuzi wenu huko Lumumba wa kuombana misamaha feki
 
Ni uongozi uliotukuka wa Mh. Mbowe. Congratulations!!

Bado CDM inakuhitaji.
 
Ha ha ha ha ha, chama kinachoamini katika democrasia kinawezaje hata Kama wanachama hawajazungumzia kuacha kuweka kipengele Cha ukomo wa uongozi, wakati ni moja ya nguzo ya democrasia common huwezi kuwa mbumbumbu kiasi hiki, kwamba kilikuwepo ila walipofanya mabadiliko kikasahaukika bahati mbaya.
Unajua shida ya humu JF wengi wenu hamna facts mnakuja na hisia..... Ww hta nkikuuliza vipengele vingapi katiba ya zamani havikuwekwa maoni katiba mpya hata hufahamu ila unaongelea tu sijui ukomo kana kwamba hukuona vipengele vilivyompa mwenyekiti uungu mtu vingi viliachwa kabisa.
Turudishe heshima ya JF kabla ya kuchangia mada ilipaswa utafute katiba zote mbili uchambue ndio ujenge hoja.

Kama wana JF ndio mnajenga hoja kwa hisia hivi na ndio mnaitwa Great Thinkers basi kuitoa CCM sio leo wala kesho.
 
Tuna National ID, tunahoji mambo ya kitaifa siyo upuuzi wenu huko Lumumba wa kuombana misamaha feki
Kwahiyo na nyie kama chama kikuu cha upinzani hamtaki kuhojiwa, tukiwapa dola si mtakuwa madikteta wa kutupwa nyie?
 
Wakati Freeman Aikaeli Mbowe⁩ anachukua nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA Taifa kutoka kwa mzee Bob Nyanga Makani, alikuta kuna Wabunge wa 5 na Madiwani wasiozidi 75 nchi nzima. Wabunge wasioweza hata kujaza sebule yenu hapo.

Leo tukielekea kwenye uchaguzi mkuu mwingine wa ndani wa CHADEMA, Mwezi Desemba, 2019 CHADEMA kuna Wabunge zaidi ya 65 madiwani zadi ya 1500 nchi yote, halmashauri za kutosha na wanaunda kambi ya upinzani bungeni (KUB)

Hivyo ni vyema wewe "kijana - baro baro" wa leo mwenye kuendeshwa na "mihemko" kutambua haya mafaniko makubwa kabla ya kusema "Mbowe ameiua CHADEMA", inawezekana hujui hata CHADEMA imefikaje hapa ilipo leo, sio miujiza, ni STRATEGIES!

Kuna Vijana wa leo, labda kwa mihemko na juhudi za kutumika hawajui nguvu iliyotumika, jasho lililomwagika hadi kuifanya leo CHADEMA kuwa chama kikuu cha upinzani. Wanadhani ni kitu rahisi kama kucheza 'BIKO na TATU MZUKA'

Hatusemi kwamba Freeman Mbowe ni malaika, kwamba hakuna dosari na makosa kwenye uongozi wake, hapana, isipokuwa jasho, damu na machozi yake yamemwagika kwa ajili ya CHADEMA, tuhuma zenu zinapaswa kuwa 'Valid' wakati wa kumkosoa, tuhuma za JINAI zithibitishwe!

Freeman Aikaeli Mbowe ni mwenyekiti halali wa CHADEMA, na ataondoka madarakani siku wanachama wa CHADEMA wakisema "imetosha" kupitia mkutano mkuu, sio kwa sababu "Kuna kelele za CCM na mapandikizi" huko nje za "Mbowe ondoka! Mbowe ondoka!"

Mzee Bob Makani alikuwa na kadi namba Tatu ya CHADEMA, kadi namba Mbili ilikuwa ya Mzee Brown Ngilulupi na kadi namba moja ya Mzee Edwin Mtei, hawakukosea kamwe kumuona Freeman Mbowe na kumkabidhi CHADEMA ambayo ameifanya kuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania.

Mwisho, kimsingi, CHADEMA imebarikiwa kuwa na mwenyekiti kama Freeman Mbowe, wengine tuliopata fursa ya kufanya nae kazi au kukutana nae, tunajivunia sana, he's a man and a-half!

Stay blessed Chairman!

Mbowe Tano Tena Uchaguzi Mkuu 2019
Mimi ni mwanaccm kaka yangu tulieachiana tumbo alikuwa mwenyekiti mkoa wa kanda ya kusini ,baba yangu alikuwa mwana ccm ,ila comment hii nimeiweka kwenye uvungu wa moyo wangu ,umeshauri vyema na vijana hawana adabu wanadhani HIVI vyama ni DARUSO
 
Labda tumuwekee ubongo wa lemutuz ndio tunaweza kumuongezea muda mpka siku presha imtoe roho
Kabisa mkuu ,maana wao chadema wakisema kisa mwenyekiti kafanya hiki na kile na ccm nao wakisema wamwache jpm atawale milele itakuweje?
 
Kitu kinachonishangaza serikali ya CCM ndio inayoamua nani awe kiongozi kwenye vyama vya upinzani na sijui ni kwa maslahi ya nani?
 
Kwa kweli ni kicheko kikubwa sana.Siku wanachama watakapoamua kuchagua Mwenyekiti mwingine watafanya tu na wala hawatasubiri kuambiwa na wanaCCM
Hapo nakubaliana na wewe. Hii habari ya ukomo hata kwenye urais ni moja ya mambo ya hovyo tuliyoletewa na Nyerere sababu tu ya chuki iliyotokana na makosa ya urais wa Mwinyi. Angetusaidia sana kama ingewekwa sheria kumwajibisha rais anapoharibu kuliko kutuachia utitiri wa viongozi wastaafu wahalifu ambao baadhi walistahili kuwa jela.

Unawezaje kuwanyima wananchi kuchagua mtu wanayemtaka kwa kisingizio cha ukomo halafu ukaita hiyo ni demokrasia!
 
katiba ya nchi inaheshimiwa???
Mkuu Zitto jnr, kwanza asante for much respect.
Utungaji katiba is a process, kila kilichokuwepo kwenye katiba ya mwanzo, kilikuwepo kwa sababu, unapotunga katiba mpya, kila kitakacho ondolewa lazima kijadiliwe with minutes written down.

Katika huo utunzi wa katiba mpya hakuna minutes zozote kuhusu kipengele hicho, as if it's an oversight, kwa taarifa kipengele hicho ni moja ya misingi mikuu kwa Chadema kuitwa Chama cha Demokrasia, how can katiba ya Chadema iwe silent?.
P
 
Kuondolewa kwa ukomo kuandamane na uchaguzi huru na wa haki!
Nipo na wewe hapa. Kwa mfano namna alivyopitishwa lowasa kugombea urais hakukuwa hata na haja ya kuharibu pesa ya chama kuitisha mkutano mkuu ule. Mambo yafanyike kwa uwazi, that is all we need.
 
una mafunza kichwani
waTZ wana udumavu wa kufikiri, yaani unajiuliza mtu huyu ana Ubongo kweli? Dalili zote zimeonekana Chadema watapata wabunge wasiozidi watano kwenye 2020 GE.

Mtu na Mchuzi wake kichwani (ubongo uliojaa maji) anakwambia Mbowe tano tena.
 
Back
Top Bottom