Punguza mihemko kamanda, mbona hamtaki kuhojiwa nyie? Mnapenda kuwahoji CCM tu,kwani nyie mna kadi za CCM?
Tuna National ID, tunahoji mambo ya kitaifa siyo upuuzi wenu huko Lumumba wa kuombana misamaha feki
Punguza mihemko kamanda, mbona hamtaki kuhojiwa nyie? Mnapenda kuwahoji CCM tu,kwani nyie mna kadi za CCM?
Unajua shida ya humu JF wengi wenu hamna facts mnakuja na hisia..... Ww hta nkikuuliza vipengele vingapi katiba ya zamani havikuwekwa maoni katiba mpya hata hufahamu ila unaongelea tu sijui ukomo kana kwamba hukuona vipengele vilivyompa mwenyekiti uungu mtu vingi viliachwa kabisa.Ha ha ha ha ha, chama kinachoamini katika democrasia kinawezaje hata Kama wanachama hawajazungumzia kuacha kuweka kipengele Cha ukomo wa uongozi, wakati ni moja ya nguzo ya democrasia common huwezi kuwa mbumbumbu kiasi hiki, kwamba kilikuwepo ila walipofanya mabadiliko kikasahaukika bahati mbaya.
OK sawa, unakuwa na maslahi na chadema ukikaribia uchaguzi tu. Mbona hatukuoni kwenye harakati za chama kuchukua dola.Ha ha haha nina Maslahi mapana na CHADEMA kwakuwa mimi ni mpiga kura!
Tuna National ID, tunahoji mambo ya kitaifa siyo upuuzi wenu huko Lumumba wa kuombana misamaha feki
Kwahiyo na nyie kama chama kikuu cha upinzani hamtaki kuhojiwa, tukiwapa dola si mtakuwa madikteta wa kutupwa nyie? |
Mimi ni mwanaccm kaka yangu tulieachiana tumbo alikuwa mwenyekiti mkoa wa kanda ya kusini ,baba yangu alikuwa mwana ccm ,ila comment hii nimeiweka kwenye uvungu wa moyo wangu ,umeshauri vyema na vijana hawana adabu wanadhani HIVI vyama ni DARUSOWakati Freeman Aikaeli Mbowe anachukua nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA Taifa kutoka kwa mzee Bob Nyanga Makani, alikuta kuna Wabunge wa 5 na Madiwani wasiozidi 75 nchi nzima. Wabunge wasioweza hata kujaza sebule yenu hapo.
Leo tukielekea kwenye uchaguzi mkuu mwingine wa ndani wa CHADEMA, Mwezi Desemba, 2019 CHADEMA kuna Wabunge zaidi ya 65 madiwani zadi ya 1500 nchi yote, halmashauri za kutosha na wanaunda kambi ya upinzani bungeni (KUB)
Hivyo ni vyema wewe "kijana - baro baro" wa leo mwenye kuendeshwa na "mihemko" kutambua haya mafaniko makubwa kabla ya kusema "Mbowe ameiua CHADEMA", inawezekana hujui hata CHADEMA imefikaje hapa ilipo leo, sio miujiza, ni STRATEGIES!
Kuna Vijana wa leo, labda kwa mihemko na juhudi za kutumika hawajui nguvu iliyotumika, jasho lililomwagika hadi kuifanya leo CHADEMA kuwa chama kikuu cha upinzani. Wanadhani ni kitu rahisi kama kucheza 'BIKO na TATU MZUKA'
Hatusemi kwamba Freeman Mbowe ni malaika, kwamba hakuna dosari na makosa kwenye uongozi wake, hapana, isipokuwa jasho, damu na machozi yake yamemwagika kwa ajili ya CHADEMA, tuhuma zenu zinapaswa kuwa 'Valid' wakati wa kumkosoa, tuhuma za JINAI zithibitishwe!
Freeman Aikaeli Mbowe ni mwenyekiti halali wa CHADEMA, na ataondoka madarakani siku wanachama wa CHADEMA wakisema "imetosha" kupitia mkutano mkuu, sio kwa sababu "Kuna kelele za CCM na mapandikizi" huko nje za "Mbowe ondoka! Mbowe ondoka!"
Mzee Bob Makani alikuwa na kadi namba Tatu ya CHADEMA, kadi namba Mbili ilikuwa ya Mzee Brown Ngilulupi na kadi namba moja ya Mzee Edwin Mtei, hawakukosea kamwe kumuona Freeman Mbowe na kumkabidhi CHADEMA ambayo ameifanya kuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania.
Mwisho, kimsingi, CHADEMA imebarikiwa kuwa na mwenyekiti kama Freeman Mbowe, wengine tuliopata fursa ya kufanya nae kazi au kukutana nae, tunajivunia sana, he's a man and a-half!
Stay blessed Chairman!
Mbowe Tano Tena Uchaguzi Mkuu 2019
Kabisa mkuu ,maana wao chadema wakisema kisa mwenyekiti kafanya hiki na kile na ccm nao wakisema wamwache jpm atawale milele itakuweje?Labda tumuwekee ubongo wa lemutuz ndio tunaweza kumuongezea muda mpka siku presha imtoe roho
Kuondolewa kwa ukomo kuandamane na uchaguzi huru na wa haki!Pia Rais wa nchi akifanya mazuri, ukomo uondolewe ili aendelee kutawala mpaka pale wananchi watakaposema basi!
Hapo nakubaliana na wewe. Hii habari ya ukomo hata kwenye urais ni moja ya mambo ya hovyo tuliyoletewa na Nyerere sababu tu ya chuki iliyotokana na makosa ya urais wa Mwinyi. Angetusaidia sana kama ingewekwa sheria kumwajibisha rais anapoharibu kuliko kutuachia utitiri wa viongozi wastaafu wahalifu ambao baadhi walistahili kuwa jela.Kwa kweli ni kicheko kikubwa sana.Siku wanachama watakapoamua kuchagua Mwenyekiti mwingine watafanya tu na wala hawatasubiri kuambiwa na wanaCCM
Mkuu Zitto jnr, kwanza asante for much respect.
Utungaji katiba is a process, kila kilichokuwepo kwenye katiba ya mwanzo, kilikuwepo kwa sababu, unapotunga katiba mpya, kila kitakacho ondolewa lazima kijadiliwe with minutes written down.
Katika huo utunzi wa katiba mpya hakuna minutes zozote kuhusu kipengele hicho, as if it's an oversight, kwa taarifa kipengele hicho ni moja ya misingi mikuu kwa Chadema kuitwa Chama cha Demokrasia, how can katiba ya Chadema iwe silent?.
P
Nipo na wewe hapa. Kwa mfano namna alivyopitishwa lowasa kugombea urais hakukuwa hata na haja ya kuharibu pesa ya chama kuitisha mkutano mkuu ule. Mambo yafanyike kwa uwazi, that is all we need.Kuondolewa kwa ukomo kuandamane na uchaguzi huru na wa haki!
waTZ wana udumavu wa kufikiri, yaani unajiuliza mtu huyu ana Ubongo kweli? Dalili zote zimeonekana Chadema watapata wabunge wasiozidi watano kwenye 2020 GE.
Mtu na Mchuzi wake kichwani (ubongo uliojaa maji) anakwambia Mbowe tano tena.
Kwa akili yako 'ndefu' bunge halipo?Wapatikane wabunge, wasipatikane. wanachama wanamtaka mbowe full stop.
Hivi kwa akili yako fupi unaamini tuna bunge hapa.
amesimama akasema ukweli kuhusu Jiwe na utawala wake. amepiga kelel angalau coco beach sandarusi za maiti zimepunguaKwani kwa uenyekiti wake amemfanya nn jiwe?
Mkuu iko hivii? Kupendwa kidemokrasia hutokana na kura za raia. Aanze kwanza na chaguzi zake za ndani ili tutathimini unalolisema.Kawaeleze wenzio kumtoa Mbowe CDM siyo kazi rahisi
Kwani kwenye chaguzi za ndani za CHADEMA kuna tatizo gani?Mkuu iko hivii? Kupendwa kidemokrasia hutokana na kura za raia. Aanze kwanza na chaguzi zake za ndani ili tutathimini unalolisema.