residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,020
- 9,609
Wewe mbona unatangaza wanaokutongoza!!??MO hana maadili kabisa yule. Anamtangazaje mteja wake wa mkopo
Maadili hayo!??
Wewe mbona unatangaza wanaokutongoza!!??MO hana maadili kabisa yule. Anamtangazaje mteja wake wa mkopo
Basi lile tukio halina tofauti na hili.Kusafishwa kivipi?Kwani Lowassa aliwahi kutiwa hatiani na mahakama kwa kosa lolote lile?Unaelewa kuwa kila mtu ni msafi hadi pale atakapotiwa hatiani na mahakama?
MO hana maadili kabisa yule. Anamtangazaje mteja wake wa mkopo
Wala siyo matukio mawili.Kuyaita ni matukio mawili ni porojo tu.Tukio ni moja tu na tukio hilo linahusu wanachama halali wa chadema 19 kwenda kinyume na makubaliano ya kikao cha kamati kuu ya chama kitu ambacho ni kinyume na katiba ya chama.Hakuna tukio lolote baya ambalo liliwahi kutokea dhidi ya chadema likimuhusisha Lowassa.Basi lile tukio halina tofauti na hili.
Acheni kulia Lia humu
usichomoke.....wanawake ni wasaliti kiasili.....so mimi wala sishangai hao kwenda kuapishwa.....Anne MkatatifuWaliompokea Lowasa CDM 2015 ni wanawake?
Wewe mbona unatangaza wanaokutongoza!!??
Maadili hayo!??
Ukweli upi?Sema ukweli basi
Kama alishurtishwa angeripoti kwenye mamlaka husika basiLazima aumbuliwe. Ule sio mkopo. Ni extortion.
Kwamba wewe na CCM damu damuUkweli upi?
Nijibu swali languusichomoke.....wanawake ni wasaliti kiasili.....so mimi wala sishangai hao kwenda kuapishwa.....Anne Mkatatifu
Sifahamu chochote kuhusu CCM, ilani yao siijui, sina kadi na sifahamu chochote zaidi ya kwamba wapo imara kuliko vyama vingine, wanasimamisha wagombea wanaojielewa, wana uzalendo.Kwamba wewe na CCM damu damu
Viti vile ni sehemu ya ushindi na ni haki yao.Wala siyo matukio mawili.Kuyaita ni matukio mawili ni porojo tu.Tukio ni moja tu na tukio hilo linahusu wanachama halali wa chadema 19 kwenda kinyume na makubaliano ya kikao cha kamati kuu ya chama kitu ambacho ni kinyume na katiba ya chama.Hakuna tukio lolote baya ambalo liliwahi kutokea dhidi ya chadema likimuhusisha Lowassa.
Sawasawa hapo umeandika vitu kuntu kabisa.Sifahamu chochote kuhusu CCM, ilani yao siijui, sina kadi na sifahamu chochote zaidi ya kwamba wapo imara kuliko vyama vingine, wanasimamisha wagombea wanaojielewa, wana uzalendo.
Kwenye uchaguzi nilimchagua diwani wa chadema maana wa CCM sikuona kama anafaa.
Kiufupi mimi ni mzalendo mpenda amani hutanikuta kwenye group lolote linalochochea vurugu kwa namna yoyote ile.
Shukran kwa kunielewa.Sawasawa hapo umeandika vitu kuntu kabisa.
Achana na huyo bwana, CHADEMA wa kiume walitaka waende kinyume na mkutano uliofanyika Beijing.Nijibu swali langu
Achana na huyo bwana, CHADEMA wa kiume walitaka waende kinyume na mkutano uliofanyika Beijing.
Kila mtu anajua ya kwamba CCM awamu hii badala ya kuiba kura walilawiti uchaguzi.Chama hakitambui ushindi haramu wa CCM.Suala la kuisusia serekali haramu ya CCM ni suala la kisheria ambalo lilipitishwa katika kamati kuu na kusainiwa na wajumbe wote ikiwa ni pamoja na hao waliosaliti makubaliano hayo.Viti vile ni sehemu ya ushindi na ni haki yao.
Mnatamani hata vingebadilishwa viwe vya wanaume
Uchaguzi ulishaishaKila mtu anajua ya kwamba CCM awamu hii badala ya kuiba kura walilawiti uchaguzi.Chama hakitambui ushindi haramu wa CCM.Suala la kuisusia serekali haramu ya CCM ni suala la kisheria ambalo lilipitishwa katika kamati kuu na kusainiwa na wajumbe wote ikiwa ni pamoja na hao waliosaliti makubaliano hayo.
Suala la kuisusia serekali haramu ya CCM ni makubaliano ya chama wala siyo suala la kijinsia.Wanaolihusisha suala hili na mambo ya kijinsia ni wana CCM walioishiwa hoja kwa hiyo wanachofanya ni kupiga tu porojo za hapa na pale.
Huwezi kulawiti uchaguzi na kukimbilia kusema kuwa uchaguzi ulishaisha labda uwe na matatizo ya ubongo.Haki lazima iendelee kupiganiwa.Haki huwa haitolewi bure.Lazima tuendelee kuipigania na kuidai.Hata mkoloni alichelewesha kutoa haki ila mwisho wa siku alisalim amri, sembuse huyu mkoloni mweusi?Uchaguzi ulishaisha
Wabunge walishaapishwa na walishakubaliana na matokeo..sasa nyie endeleeni kulialia
Kaandamane kama unaona uchaguzi ni haramu
Nenda kadai hiyo hakiHuwezi kulawiti uchaguzi na kukimbilia kusema kuwa uchaguzi ulishaisha labda uwe na matatizo ya ubongo.Haki lazima iendelee kupiganiwa.Haki huwa haitolewi bure.Lazima tuendelee kuipigania na kuidai.Hata mkoloni alichelewesha kutoa haki ila mwisho wa siku alisalim amri, sembuse huyu mkoloni mweusi?