ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Tatizo mfumi dume
Uliza hivi je nafasi za viti maalum zingekuwa zinaenda na wanaume je wasingekwenda?Naona chamani hali imekuwa tete. Leo watu 19 ambao wanachama wao walikuwa wana waamini kuwa ni WAPAMBANAJI, MAKAMANDA na WAPENDA DEMOKRASIA tunaambiwa ni WASALITI...
Ufipa lingebaki jengo tu, maana nadhani wote wangefukuzanaUliza hivi je nafasi za viti maalum zingekuwa zinaenda na wanaume je wasingekwenda?
Yesu huenda aliwaonea huruma wanawake maana mapito yake yalikuwa magumu. Kama usaliti mbona hao hao wanaume walimsaliti?ndo maana Yesu hakuna na wanafunzi wanawake
InshaaAllah.Hasira nilizonazo hazimithiliki,
M/Mungu awape hekima Sisiemu.
-wawape ajira vijana.
-wawape mikopo wanafunzi.
Mengine ni historiA.
Waliompokea Lowasa CDM 2015 ni wanawake?Ukiwa muaminifu huwezi kuwa hivi ktk hili Wanawake wako mstari wa mbele kusaliti.
2015 walivyompokea Lowasa hawakuwakera??Wametukera sana sisi wengine
Kwani Lowassa kafanya/alifanya kosa gani dhidi ya CHADEMA hadi umlinganishe na hawa wanawake wa sasa hivi ambao wamevunja makubaliano ya kamati kuu ya chama?Waliompokea Lowasa CDM 2015 ni wanawake?
Ilikuwa sawa kumchukua na kumsafisha?Kwani Lowassa kafanya/alifanya kosa gani dhidi ya chadema hadi umlinganishe na hawa wanawake wa sasa hivi ambao wamevunja makubaliano ya kamati kuu ya chama?
Sema ukweli basiWaingie Bungeni wasiingie mimi sijali. Kinachonichekesha ni misimamo ya wanaCHADEMA haieleweki.
Mimi sio CCM bali namsapoti JPM
Kusafishwa kivipi?Kwani Lowassa aliwahi kutiwa hatiani na mahakama kwa kosa lolote lile?Unaelewa kuwa kila mtu ni msafi hadi pale atakapotiwa hatiani na mahakama?Ilikuwa sawa kumchukua na kumsafisha?
Kama jibu ni Ndiyo basi hata hawa wapo sawa tu.
Utajua hujuiView attachment 1634541
Hata mtakatifu Nyerere?Hiyo ndo sisi wana wa Africa tunasema adui muombee njaa, hakika nawaambieni hakuna mwanasiasa atakaeiona pepo maneno yooote hamna kitu (hapo tumeona tofauti ya mwanaume na mwanamume).
Mmoja kasema watu wakiteseka kutokana na vikwazo watailaumu CCM. Ninachojiuliza ni je, hawa watu hawaoni nani anaitisha hivyo vikwazo?Tatizo lake Lissu ni kutumikia mabwana wawili (I don’t mean in a vulgar way).
Yupo busy na agenda za hakina Amsterdam bila ya kujali madhara ya sura ya chama chake mbele ya jamii; katika hizo harakati ambazo ni self-motive anaki implicate chama chake mahala pabaya waonekane watu wanaotaka kuona watu maskini waumie.
Si ajabu anafanya hayo pengine bila ya kuwashirikisha wenzake katika mikakati yake.
Mbowe and company have a duty to build public support, yeye yupo busy akishirikiana na wazushi wa Twitter kukisogeza chama mbali na wapiga kura, akitegemea nguvu ya mabeberu.
Wakujilaumu ni Lissu mwenyewe for pursuing his selfish motives, badala ya kukaa na wenzake kuangalia wanajipanga vipi.
Mbowe has put him in his place, the message is clear.