Capitano
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 1,959
- 1,635
Lakini wanasumbuka bure tu mbona mie nilishazimikaga tu hata bila kurogwaKule mkuu ndoa hukabidhiwa kwa mti wa porini kabla haijafungwa. Unaambiwa wewe mtu ulivyosimamz miaka 100+ na ndoa yangu isimane hivyo hivyo





