Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kwa kweli ni wachache sana wanaokubali dhahiri kuwa wanaamini.mkuu mie pia naamini katika ndumba ila sina chale, naishi na mtoto wa bro. yuko std 5 kila akienda kwa mama yake anarudi na chale mpyaaa huwa nashindwa kuzungumza nakausha tu.
nna jamaa yangu anafanya kazi taaisisi flani kuna kazi zitatangazwa hivi karibuni, anataka nihamie huko anasema nisihofu tofauti na kujuana na watu wake ila juju ni muhimu sana.
naungana na iyo ripoti juju zipo na mimi naamini sana huko
Mmh! Takwimu inatungwa kweli? Basi hawa wanaweza kuwa TWAWEZAAliyetunga hii takwimu angekuwa karibu ningempatia zawadi
Tanzania tunaamini ushirikina mpaka kero
Mabasi yakiwaka moto tunadai uchawi wakati ni hitilafu kwenye mifumo ya umeme,poor service,kuweka mafuta ilhali gari ipo on nk nk lkn tunaanza kulaumu majini ,
Viko vingi vya kushangaza ila kwa hili Tz tunaongoza sipingi hii takwimu