Hatimaye tumechukua no moja

Hatimaye tumechukua no moja

Natamani tuifiche mikoa miwili ktk jogorafia ya nchi kisha takwimu ipikwe upya tuone inakuwaje.
K Town(goma), sumba-wanga.
 
Write your reply...
uchawi bhana ka hujawahi shuhudia utasema haupo,kuna siku mkoani huko rukwa, tumetoka nyumbani tunaelekea mtoni kuoga mchana mida ya saa 7 hivi,njiani tukakutana na kundi kiasi la watu wakishangaa shangaa,kwenda kuangalia kunani,katikati ya lile kundi tunamkuta kijana kalala uchi wa mnyama huku akilia kwa sauti kubwa sana tusielewe kinachoendelea,watu wakaanza kumsema aache wizi,mara ooohh amezoea kuiba vitu vya watu,wengi wakicheka,wengine wanasikitika,walikuwepo wanaoshangilia,basi wakamnyamazisha...lahaula,kumbe akinyamaza na mlio wa simu unaanza kulia tumboni,aisee ile siku nilishangaa sana,ikabidi niulize huyu bwana kimempata nini?..jamaa ni kibaka na mwizi mzoefu maeneo Yale,sasa siku hiyo aliiba simu kwa mtu asiyemjua kwenye gari ya kwenda mnadani!!ikabidi jamaa wamchujue hadi kituo cha polisi,huku si tukifuata,jamaa akiendelea kulia njia nzima,ile kufika tu polisi wakaanza kushangaa badala ya kutoa huduma,wakamwambia anyamaze ili atoe maelezo,ile ananyamaza tu,na simu nayo inalia tumboni,basi kituo kizima kikaangua kicheko cha haja!!
 
Write your reply...
uchawi bhana ka hujawahi shuhudia utasema haupo,kuna siku mkoani huko rukwa, tumetoka nyumbani tunaelekea mtoni kuoga mchana mida ya saa 7 hivi,njiani tukakutana na kundi kiasi la watu wakishangaa shangaa,kwenda kuangalia kunani,katikati ya lile kundi tunamkuta kijana kalala uchi wa mnyama huku akilia kwa sauti kubwa sana tusielewe kinachoendelea,watu wakaanza kumsema aache wizi,mara ooohh amezoea kuiba vitu vya watu,wengi wakicheka,wengine wanasikitika,walikuwepo wanaoshangilia,basi wakamnyamazisha...lahaula,kumbe akinyamaza na mlio wa simu unaanza kulia tumboni,aisee ile siku nilishangaa sana,ikabidi niulize huyu bwana kimempata nini?..jamaa ni kibaka na mwizi mzoefu maeneo Yale,sasa siku hiyo aliiba simu kwa mtu asiyemjua kwenye gari ya kwenda mnadani!!ikabidi jamaa wamchujue hadi kituo cha polisi,huku si tukifuata,jamaa akiendelea kulia njia nzima,ile kufika tu polisi wakaanza kushangaa badala ya kutoa huduma,wakamwambia anyamaze ili atoe maelezo,ile ananyamaza tu,na simu nayo inalia tumboni,basi kituo kizima kikaangua kicheko cha haja!!
halafu mlio wenyewe usikute ni ule wa tigo beat
 
Ah nimeshangaa tumewashinda nigeria fake fake statistics,niger ni noma kuliko sisi
 
Kwa kweli hili nakubaliana nalo kabisa kuwa Tz wanaongoza.

Wengi unaewaona lazima wana chale awe mwanamke au mwanaume
Yaani wengine wanaingia kazini na chale mpya karibu na jicho ukimuuliza anajiumauma tu
Kweli ndumba haiishi duniani
mkuu mie pia naamini katika ndumba ila sina chale, naishi na mtoto wa bro. yuko std 5 kila akienda kwa mama yake anarudi na chale mpyaaa huwa nashindwa kuzungumza nakausha tu.

nna jamaa yangu anafanya kazi taaisisi flani kuna kazi zitatangazwa hivi karibuni, anataka nihamie huko anasema nisihofu tofauti na kujuana na watu wake ila juju ni muhimu sana.

naungana na iyo ripoti juju zipo na mimi naamini sana huko
 
Mume wa shost alihama kama utani, huko tukaambiwa anasomesha mashemeji na wakwe amewajengea nyumba. Katika kuhangaika aliambiwa sandlike maumivu huyo mke mwe za amekwenda Malawi na Msumbiji.

Shost amekuwa mlokole.
Duuuh salaaaaleh
 
Waganga wanapiga sana hela bongo,na wateja ni kila rika,matajiri,maskini,wasomi,wasiokuwa wasomi,etc.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom