Hatimaye tumechukua no moja

Hatimaye tumechukua no moja

usijali hapa kati drama zilikuwa nyingi ila nitarejea

Haraka maana mmmmh.. kweli malavidavi yanachukua muda wa mtu

Sawa ni yule nyapu nini.. maana naona ametulia kwasasa amepiga kimya fulani.. eeeeh.. umentisha utamuacha kweli kweli.. 😁
 
Ha ha haaaaaaa

Kuna kitu nilibaki mataa ni baada ya issue ya yule side chick wa D. Platnumz ya kutumia ya kuroga sijui kunini..

Nikasoma comments insta tena nilizidisha. Nikakuta wanawake wengi wameandika ni kawaida.. haikuwashtua.. wanayafanya kama kawa.. nili 🙆‍🙆‍🙆‍

Sikurudi kusoma kwa kushangaaa imekuwa part ya maishani mwa wengi bila aibu.

Lete habari basi.. siku hizi hutaki tuzidi kujijazia imani ya kumcha Mola na kujiamini au?
Wajinga ndiyo waliwao, hiyo hela ya kumloga Asprin anipende ngoja nimnunulie Jack Daniel.
 
Hongera Tanzania,tumepiga hatua kwakweli,mambo yanaendana na kasi ya viwanda.
Hapa kazi tu
 
Kama Naijeria tumewazidi, basi takwimu hizo si sahihi. Hata hivyo hatuko nyuma aisee maana kama sio imani hizo DAB asingekuwa pale alipo hadi leo
 
Imagine kuna mtu anaamini mtoto wake akipoo ile poo ikifukiwa na udongo mtoto tumbo litauma basi hafukii. Yaani pathetic
 
Kama Naijeria tumewazidi, basi takwimu hizo si sahihi. Hata hivyo hatuko nyuma aisee maana kama sio imani hizo DAB asingekuwa pale alipo hadi leo
Wale kelele tu lakini wenyewe wanakiri kuwa limbwata la Mozambique 🇲🇿 ni mwisho likifuatia na la Haiti na Benin 🇧🇯
 
Na wanaoongoza hapa kwetu ni wanawake/wadada, yaani wanaume tuna kazi sana tunagawanwa na hawa viumbe kama mpira wa kona, ukirudi home mwanamama anafanya yake, ukikaa mezani house girl anafanya yake,ukienda kwa mchepuko nae anakolezea kwake,yaani tupo tupo tu kama misukule
Hahahahahaha misukule kweli
 
Na wanaoongoza hapa kwetu ni wanawake/wadada, yaani wanaume tuna kazi sana tunagawanwa na hawa viumbe kama mpira wa kona, ukirudi home mwanamama anafanya yake, ukikaa mezani house girl anafanya yake,ukienda kwa mchepuko nae anakolezea kwake,yaani tupo tupo tu kama misukule
Mtegemee Mungu, sisi wazazi tunawaombea sana watoto wetu wa kiume
 
Inawezekana kweli South Africa isiwemo!!?
Hawa jamaa itakuwa ni bracn ya Wale walosema umaarufu wa Jeipiem umeshuka sana!
Wanatumiwa
 
Wale kelele tu lakini wenyewe wanakiri kuwa limbwata la Mozambique 🇲🇿 ni mwisho likifuatia na la Haiti na Benin 🇧🇯
Anhaaaa sasa naanza kufumbua macho!!! Ndo maana huyu niliyenae sipindui wala sigeuzi nae ni wa nchumbiji daaah kuuumbeee
 
Anhaaaa sasa naanza kufumbua macho!!! Ndo maana huyu niliyenae sipindui wala sigeuzi nae ni wa nchumbiji daaah kuuumbeee
Kule mkuu ndoa hukabidhiwa kwa mti wa porini kabla haijafungwa. Unaambiwa wewe mti ulivyosimamz miaka 100+ na ndoa yangu isimane hivyo hivyo
 
Lakini mbona walishindwa kutambua alikopelekwa MO?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom