Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,912
- 3,021
Buhhhhhhhh
Aibu gani mkuu hiyo ndiyo kwa kizungu inaitwa technology!! Tupende vya kwetu mkuu!!
Aibu gani mkuu hiyo ndiyo kwa kizungu inaitwa technology!! Tupende vya kwetu mkuu!!
usijali hapa kati drama zilikuwa nyingi ila nitarejea
Wajinga ndiyo waliwao, hiyo hela ya kumloga Asprin anipende ngoja nimnunulie Jack Daniel.Ha ha haaaaaaa
Kuna kitu nilibaki mataa ni baada ya issue ya yule side chick wa D. Platnumz ya kutumia ya kuroga sijui kunini..
Nikasoma comments insta tena nilizidisha. Nikakuta wanawake wengi wameandika ni kawaida.. haikuwashtua.. wanayafanya kama kawa.. nili 🙆🙆🙆
Sikurudi kusoma kwa kushangaaa imekuwa part ya maishani mwa wengi bila aibu.
Lete habari basi.. siku hizi hutaki tuzidi kujijazia imani ya kumcha Mola na kujiamini au?
Wajinga ndiyo waliwao, hiyo hela ya kumloga Asprin anipende ngoja nimnunulie Jack Daniel.
Wale kelele tu lakini wenyewe wanakiri kuwa limbwata la Mozambique 🇲🇿 ni mwisho likifuatia na la Haiti na Benin 🇧🇯Kama Naijeria tumewazidi, basi takwimu hizo si sahihi. Hata hivyo hatuko nyuma aisee maana kama sio imani hizo DAB asingekuwa pale alipo hadi leo
Hongera Sumbawanga,Tanga,Kigoma mchango wenu tunautambua
Hahahahahaha misukule kweliNa wanaoongoza hapa kwetu ni wanawake/wadada, yaani wanaume tuna kazi sana tunagawanwa na hawa viumbe kama mpira wa kona, ukirudi home mwanamama anafanya yake, ukikaa mezani house girl anafanya yake,ukienda kwa mchepuko nae anakolezea kwake,yaani tupo tupo tu kama misukule
Mtegemee Mungu, sisi wazazi tunawaombea sana watoto wetu wa kiumeNa wanaoongoza hapa kwetu ni wanawake/wadada, yaani wanaume tuna kazi sana tunagawanwa na hawa viumbe kama mpira wa kona, ukirudi home mwanamama anafanya yake, ukikaa mezani house girl anafanya yake,ukienda kwa mchepuko nae anakolezea kwake,yaani tupo tupo tu kama misukule
Anhaaaa sasa naanza kufumbua macho!!! Ndo maana huyu niliyenae sipindui wala sigeuzi nae ni wa nchumbiji daaah kuuumbeeeWale kelele tu lakini wenyewe wanakiri kuwa limbwata la Mozambique 🇲🇿 ni mwisho likifuatia na la Haiti na Benin 🇧🇯
Kule mkuu ndoa hukabidhiwa kwa mti wa porini kabla haijafungwa. Unaambiwa wewe mti ulivyosimamz miaka 100+ na ndoa yangu isimane hivyo hivyoAnhaaaa sasa naanza kufumbua macho!!! Ndo maana huyu niliyenae sipindui wala sigeuzi nae ni wa nchumbiji daaah kuuumbeee