Kuweni makini mafundi magari wengi ni matapeli

Kuweni makini mafundi magari wengi ni matapeli

SISIS

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2019
Posts
11,128
Reaction score
3,742
Tumetoka mkoa na jamaa yangu anamiliki vitz cc1290 , sasa tunaksema kwa sababu tumepiga km 1200 si vibaya kumpelekea fundi afanye chekup ya oil na vitu vingine ila haikusumbua hata kidogo

Hapo gari imetoka kilimanjaro mlimani kule national park ina watu 5, kwenda na kurudi na njiani haikuwa na shida

Fundi kuiangalia tu kaanza hii gari masega hamna[emoji23][emoji23][emoji23] inatakiwa ikatwe iwekwe masega hee nkacheka nkasema vitz ibebe watu watano kutoka dar hadi kilimanjaro national park ikiwa na nguvu na haimiss wala kupoteza nguvu na ina mlio wake alafu masega yawe hamna how come?

Akasema tena sylnder head ya kufunguliwa ikazwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikacheka tena gari no E imetembea more than 1300km haikuchemsha wala nn ije ifunguliwe sylinder head na gasket tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nikamwambia jamaa yangu hapa tuondoke

Sasa watu wengi huwa mnauliwa magari yenu sababu ya kuwaskiliza mafundi mafundi ni wezi anaweza kuta gari ina plug og akakushauri ubadilishe ili aweke feki zile og akauze

Fundi ni mtu ambae hata kama gari haina ugonjwa atatafuta sababu tu akuumize ni vyema watu wajifunze magari wenyewe
 
Fundi kuiangalia tu kaanza hii gari masega hamna
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
inatakiwa ikatwe iwekwe masega hee
Akasema tena sylnder head ya kufunguliwa ikazwe
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

Anyway wazo lingne.
Hebu kabla ya kumlaumu Fundi.
Mlimuambia acheki oil.
Na huko kwingne mmemruhusu pia kuangalia .
Si ndio?.
Na yeye ndio akatoa observation zake.
 
Anyway wazo lingne.
Hebu kabla ya kumlaumu Fundi.
Mlimuambia acheki oil.
Na huko kwingne mmemruhusu pia kuangalia .
Si ndio?.
Na yeye ndio akatoa observation zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani hizi zingine zinazochemka njiani zinakuwa hazijatembea? Unaweza kutembea 1300k haijachemka ila inachemka 2k mbele hivyo ikawa imechemka baada ya kutembea 1302km.

Kwahiyo inawezekana fundi aliona kitu ambacho kitapelekea kesho au kesho kutwa ikachemka.
 
Kwani hizi zingine zinazochemka njiani zinakuwa hazijatembea? Unaweza kutembea 1300k haijachemka ila inachemka 2k mbele hivyo ikawa imechemka baada ya kutembea 1302km.

Kwahiyo inawezekana fundi aliona kitu ambacho kitapelekea keshobl au kesho kutwa ikachemka.
Elewa tuliendesha km 1300 sio 130k haikuchemka alafu mtu anakwambia gasket ya kukakaza[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom