Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
"Wapinzani watetereke" by Zuchu
"Wapinzani watetereke" by Zuchu
Nashaangaa hapo na mie,Ile timu ya ushindi ya sisiem kwenye uchaguzi mkuu uliopita hawawezi kumsaidia mondi akanyakua hili tuzo? wakurugenzi, tume etc
tobaaaaaah wee"Magufuli babalao- babalao, makonda baba lao-babalao takataka baba lao- baba lao" labda tuzo ya nyokwe
Mkuu unatufokea sisi ama niniWabongo mnapenda sana kuabudu watu na kuwafanya wajenge MONOPOLY.
No wonder nchi ya watu 60M wanakuwa na nguvu wasanii watatu.
Wasanii wa bongo ni TAKATAKA kabisa.
Wengi wataishia kutumika tu kama misukule.
Huyo jamaa akili yake imejaa pili pili boss 😀Mkuu unatufokea sisi ama nini
Nadhani ametuma na ya kutolea ila she wake hajafika 🤣🤣🤣Huyo jamaa akili yake imejaa pili pili boss 😀
Diamond ako na shida mingi mzee we mtetee lkn walioamua wameamua huwezi kuwaamulia wala kukuamuliwa...wanajua diamond ni top kwa sasa lkn hiyo haiwezi kuzuia mtu asiwe against him especially the ones who know the both side of him tofauti na sie tunaomjua upande wake mmoja wa shilingi...THE GUY IS LIKE WANT TO BE WORSHIPPED THOUGHDiamond Platnums amechaguliwa kuwania tuzo za BET , akiwa ni yeye pekee tokea pande za Africa mashariki....
Kipengele hcho yupo sambamba na mkali Burna boy tokea Nigeria..!
Kinachoshangaza ni kuwepo Kwa makundi yanayompinga kumpigia Kura kutokea hapa hapa nchini kwake Tanzania mahali ambapo alitakiwa apate support kubwa zaidi ....
Makundi hayo yapo sehemu kuu mbili.
1. Kundi linalompinga Kwa mlengo wa kisiasa likiongozwa na accnt maarufu tokea mtandao wa Twitter ya Kigogo 2014...
Hao sababu zao kuu ni Diamond kutohusika katika kukosoa kile wanachokiita ukiukwaji wa haki za binadamu nchini... Pamoja na kuwa upande wa chama tawala cha CCM.
2.Kundi linalompinga Kwa chuki na maslahi ya kimziki ... likiongozwa na mtangazaji wa Clouds Mwijaku , na accnt zingine za udaku eg Carry mastory , Jay maudaku, E.fm media n.k ...... in short group lote la konde gang...
Na hili kundi la pili ndo nitakaloliongelea Mimi.....
Bila kupepesa macho mziki wa bongo fleva Una waanzilishi wake na Una wakongwe wake hata hivyo Diamond Platnumz ameunyanyua mziki huu Kwa kiwango cha juu kuliko msanii yyte Yule .....
Kundi hili limekuwa likijihusisha na kumpa support Harmonize , wakiwa na lengo au matumaini ya kuwa huenda ana nyota ya kumpita Diamond Platnumz , ...story zao , post zao na kila kitu wanachokifanya kimekuwa na vimelea au lengo la kumgusa Diamond Platnumz in a negative way..
Hakuna asiyejua kuwa Burnaboy ni mwanamziki hodar Kwa sasa Africa , na wala hahitaji support ya watanzania kuchukua tuzo hyo , tuzo ya BET kuchukua inategemea unajulikanaje international level
Na bila Shaka Burnaboy anajulikana Zaid kuliko Diamond , kismingi Burnaboy kuchukua hyo tuzo ni Jambo la kufikia na Diamond akichukua basi itakuwa ni Jambo la kupongezwa .....
Lakni Kwa nini hawa waswahili wamelivalia njuga Kwa kiwango hcho ......
Iko hvi , kinachowaumiza kichwa supporter wa Harmonize ni namna ya kupenya na kufika mbali kama alivyo boss wake wa zamani Na aliyemtoa kimziki Diamond Platnumz ,
Wanaona kijana wa Tandale amepenya zaidi , na maneno Yao ya uswahili kimsingi hayagusi kina cha maji , kimsingi Diamond ana supporter kubwa Sana ndani na nje ya nchi, si kama mshindani wake Burnaboy Ila kuliko msanii yyte Kwa ukanda wa Africa mashariki na pengine na Kati.
Hvyo kundi hili wanaona wakimpa support Burnaboy na yeye Kwa namna moja ama nyingine akitambua hlo basi atakuwa tayar kuwa karbu na Harmonize na Harmonize atamtumia kama ngazi ya kumpaisha ili lengo Lao lifanikiwe .....
Diamond anajua kutumia fursa , kitendo cha yeye kuwa nominated , na stuation inayoendelea Mitandaoni inampa mileage kubwa Sana kuwafikia wasaniii wa kiwango cha juu zaidi duniani ....
Vyovyote itakavyokuwa kufanikiwa Kwa lengo Lao kutategemea , bahati na nyota ya msanii wao....na sio kelele za kutaka fulan ashindwe ili fulani apae ....nafkri hzo sarakasi Diamond amecheza nazo tangu anatoka sharobaro record mpak hvi leo ...
Huwez pata sapoti asilimia 200 nahaijapata kutokea kiumbe wakupata asilimia hizoElezea efm wameingiaje hapo???
Na kwanini yatokee haya makundi wakati hapo mwanzo jamaa alipata sapoti ya zaidi ya 200% hakuna aliempinga????
Acha uongo! Kitu kama hujui usiandike UZUSHI!! Kaa kimya.
Fabio santolo Wofcourse Nigeria wapo wengi kuliko Tanzania lakini mashabiki kindakikindaki na wapigaji wazuri wa kura wapo Tanzania hiyo ndio tofauti iliyopo ndio maana ukienda kwenye mitandao ya betaward hadi sasa Diamond ndio anaongoza kwa kura kwa tofauti kubwa Sana na wanaofuata.Kumbuka pia huyu huyu diamond aliweka record kwenye tuzo Afrimma za wanigeria kwa kuwa na kura 1 million akifuatiwa na burnaboy akiwa na kura elfu kumi.Wakiangalia kigezo Cha kura Diamond atashinda ila wakiamua majaji inaweza ikawa 50/50 either burnaboy au DiamondMnamjua burna boy,unajua Nigeria ina watu wangapi walio ndani,na nje ya nchi je??!..yaani domo awe na mashabiki wengi kuliko Burna????
Mnaleta utani kwenye mambo serious
we mtoto wa kiume unataka support ya watu ili iwaje ..pambana na maisha yakoElezea efm wameingiaje hapo???
Na kwanini yatokee haya makundi wakati hapo mwanzo jamaa alipata sapoti ya zaidi ya 200% hakuna aliempinga????
lissu ni chizi kama machizi wengineLussu kamtema DiamondView attachment 1806503