Hatimaye Nyanda aachiwa akiwa hai

Hatimaye Nyanda aachiwa akiwa hai

Baada ya kelele za wadau hatimaye Alloyce Nyanda ameachiwa akiwa hai

Ikumbukwe kwamba Nyanda mtu mwenye Kula ugali n.a. Sangara mkavu alituhumiwa kufadhili vikundi vya mitandaoni, Tukashangaa Nyanda huyu anayevaa Skuna Leo Ana hela za kufadhili vikundi!

Hata hivyo simu zake zinashikiliwa ikiwemo ile ya tochi ya Tecno

Asante Mungu
Ni huyu jamaa yule aliyekuwa mtangazaji wa star tv
 
Ww na waandishi wenzako mlikaa kimya wakati Nyanda amekamatwa. Ww Paskali na ulivyokuwa unaitumia Star TV, ni WA kukaa kimya mtu kama Nyanda akiwa amekamatwa?
Norma sana
 
Baada ya kelele za wadau hatimaye Alloyce Nyanda ameachiwa akiwa hai

Ikumbukwe kwamba Nyanda mtu mwenye Kula ugali n.a. Sangara mkavu alituhumiwa kufadhili vikundi vya mitandaoni, Tukashangaa Nyanda huyu anayevaa Skuna Leo Ana hela za kufadhili vikundi!

Hata hivyo simu zake zinashikiliwa ikiwemo ile ya tochi ya Tecno

Asante Mungu
Bahati nzuri ni kwamba 'promo' ya TFF imekwisha timizwa.

Parakapotokea "Paaaa" moja tu; waTanzania hawatastuka tena kinachotokea.
Hapo ndipo huo "ufadhili" unaowapa homa ndipo utakuwa ugonjwa kamili.
 
Ww na waandishi wenzako mlikaa kimya wakati Nyanda amekamatwa. Ww Paskali na ulivyokuwa unaitumia Star TV, ni WA kukaa kimya mtu kama Nyanda akiwa amekamatwa?
Halafu nayeye anajiweka kwenye la kuelimisha watanzania wakati hawezi kuwatetea wenzake.
 
Wanachotengeneza uzuri kitawaumiza na wao siunaiona ile janjaweed pale Sudan leo matokeo yako clear
 
Baada ya kelele za wadau hatimaye Alloyce Nyanda ameachiwa akiwa hai

Ikumbukwe kwamba Nyanda mtu mwenye Kula ugali n.a. Sangara mkavu alituhumiwa kufadhili vikundi vya mitandaoni, Tukashangaa Nyanda huyu anayevaa Skuna Leo Ana hela za kufadhili vikundi!

Hata hivyo simu zake zinashikiliwa ikiwemo ile ya tochi ya Tecno

Asante Mungu
Kwani alitekwa au alikamatwa kawaida
 
Nyanda anafanya kazi nzuri sana namkubali. Mwenyezi mungu amweke sana. Tunahitaji watu wengi kama Nyanda kwenye media
 
Back
Top Bottom