Hatimaye nipo huru

Hatimaye nipo huru

Baba yake alimkataa kwa vile alitembea na jini wa jamii nyingine.
Yeah nimeona hilo!! Kwani si hakujua angepewa second chance Jamani au ndio Golden chance never come twice !! Ila yote kher some things happens ili mengine yaliyokusudia pia yatokee!!

Maisha lazima yaendelee ✌️
 
Asante madam ..kule tangu ile siku nilizuiliwa kukoment hadi March huko! Pia Huku kwingine nilipewa ban ya Wiki moja ila ishaisha!
Hee..pole sana my dear ndo maaana kumepoa....simuoni cocastic na ushambenga wake akileta amsha amsha Tena kapoa km mkojo wa ng'ombe!!!

Unamissika dear

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hee..pole sana my dear ndo maaana kumepoa....simuoni cocastic na ushambenga wake akileta amsha amsha Tena kapoa km mkojo wa ng'ombe!!!

Unamissika dear

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Coca nae kazuiliwa mwezi mzima!! Mie kule midamida huwa napita kulike tu kwani kuna wapendwa huwa wananitag niwablesss ila ndoivo !
Fanyeni pachangamke bana Self isipoe isiboe!!

Ngoja tupumzike kwanza tuendelee nahuku kwingine !
 
Coca nae kazuiliwa mwezi mzima!! Mie kule midamida huwa napita kulike tu kwani kuna wapendwa huwa wananitag niwablesss ila ndoivo !
Fanyeni pachangamke bana Self isipoe isiboe!!

Ngoja tupumzike kwanza tuendelee nahuku kwingine !
Hehehehehe!!!usinambie nyote wawili !!!ule msala au?!!niliponaje!!!!Mimi SI wajua mambo Mengi dadaa!!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom