Hatimaye nimewasili nchini Pakistan

Hatimaye nimewasili nchini Pakistan

Masaa kadhaa yaliyopita nimewasili hapa Pakistan,asikwambie mtu hakuna maendeleo,barabara mbovu, mazingira machafu ,Kuna mama ntilie wa kiarabu Kila Kona, mazingira ya migahawa machafu,Hawa waarabu wanaishi Bongo, huku kwao Ni maskini vibaya mno, tayari nimekutana na mwenyeji wangu,taarifa na picha zaidi zinakuja..
Uko Karachi ama wapi?Mi niko Karachi
 
Mimi nakupa hongera kwa kubadili hali ya hewa na kutembea pia nje ya Tanzania..pia usijali mihemko ya jf ni kawaida sana watu utaona wanajidai kujua mahali kumbe wamekaa na world map na kukutajia miji hadi mitaaa utassema washafika kumbe hata ndege hawajawahi panda zaidi ya kuiona angani tu.
Pambama ndugu yangu kilichokupeleka ufanikishe na urudi salama tu...
Kila la kheri
Yap,nimejifunza mengi
 
Huyu jamaa profile photo take kaweka ya Don Mohammed bin Khatibu haji alias Shukba. Amewasili Karachi shamba
Ndugu utakuwa umefuata " musharaf" aka kazi Kama vipi idondoshe Jozah upate fedha.
Hi I rest naye mlikuwa mnambebesha Nini mzigo??
Hahhaahaaaaa!!
 
Pakistani sio waarabu kuna mchanganyiko wa Waajemi (Persians) na Wahindi ambao wengi wanapatikana maeneo ya Kashmir.
 
MAMA NTILIE WAARABU ?? KWELI WEWE MUAFRICA MUONGO SANA NAONA HUJAFIKA PAKISTAN . PAKISTAN SIO NCHI YA WAARABU NA WALA HAWAISHI WAARABU NA WALA LUGHA HAWATUMII YA KIARABU NA PAKISTAN HAWAJUI KIARABU . PAKISTAN NI ASILI YA KIHINDI NA LUGHA YAO NI MOJA NA INDIA
Pakistani Lugha kuu na inayozungumzwa na wengi inaitwa "Urdu" ikifuatiwa na "Hindi"
 
We jamaa kwa kuangalia hilo jina na li nchi uliloenda jumlisha na nyuzi zako Una kila dalili ya kuwa mdau wa NGADA/UDAGA sorry kama nitakuwa nimekuudhi
hapo red umeniacha nje ya mjdala rafiki nikwamue maana yake nini wengine wa bara siye!!
 
Hongera mkuu.

Usisahau kutembelea Saidu Sharif ambao ni mji mkuu wa bonde la Swat ambalo lina mto Swat unaopita katikati..

Matunda ya apple na peach yanatoka hapo.

Kabila la watu wa hapo wanaitwa Pashtun ambalo ni moja ya makabila madogo lakini hili kabila ni maalum.
maalumu ki vp kiongozi
 
Pakistan sio waarabu
Masaa kadhaa yaliyopita nimewasili hapa Pakistan,asikwambie mtu hakuna maendeleo,barabara mbovu, mazingira machafu ,Kuna mama ntilie wa kiarabu Kila Kona, mazingira ya migahawa machafu,Hawa waarabu wanaishi Bongo, huku kwao Ni maskini vibaya mno, tayari nimekutana na mwenyeji wangu,taarifa na picha zaidi zinakuja..
 
Masaa kadhaa yaliyopita nimewasili hapa Pakistan,asikwambie mtu hakuna maendeleo,barabara mbovu, mazingira machafu ,Kuna mama ntilie wa kiarabu Kila Kona, mazingira ya migahawa machafu,Hawa waarabu wanaishi Bongo, huku kwao Ni maskini vibaya mno, tayari nimekutana na mwenyeji wangu,taarifa na picha zaidi zinakuja..
Umefikia mji gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom