Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,829
Ukiona mtoto ana sura mbaya jua baba take tajiri.hatuzai Na watoto mayai sisi.baba mtoto wangu yupo Iran sasa hiviSawa, mtoto wako akishakua anaefuata naomba niweke mimi please!
Ukiona mtoto ana sura mbaya jua baba take tajiri.hatuzai Na watoto mayai sisi.baba mtoto wangu yupo Iran sasa hiviSawa, mtoto wako akishakua anaefuata naomba niweke mimi please!
Hebu yatenganishe,tupe ilio sahihiHalafu huko si kwa waarabu umechanganya madawa kiongozi
No, nimefika hata siku moja sijamalizaUmewasili Pakistan nchi au mji.....? Maana umeandika kitu general as if ndio umemaliza tour ya Pakistan nzima
Hatimaye Miss Natafuta akutana na kikomo chake.Hongera zako
Ina kipi Cha ajabu ambacho sijawahi kuonaBond papuchi mkuu
Ndo utaona siku hyo ya kuweka bondIna kipi Cha ajabu ambacho sijawahi kuona
adventurer hahitaji mwenyeji...ni kujua tu destination yako, historia na jografia ya eneo husika. mengine utayajua hukohuko mbele ya safari.Vizuri,Cha muhimu uwe na mwenyeji
Nipo hapa Islamabad (Blue Area) karibu na Saudi Park. Naielewa Pakistan vizuri tu. Ukija utanikuta nimejaa tele. Juzi tu nilikuwa Lahore (PC Hotel) iliyopo Mall Road, Shara-e-Quaid-e-Azam.Wewe utakuwa ni muislam
Yani ukishakula dagaa zako hapo Tandale unaota ota vitu vya ajabu ajabuNipo hapa Islamabad (Blue Area) karibu na Saudi Park. Naielewa Pakistan vizuri tu. Ukija utanikuta nimejaa tele. Juzi tu nilikuwa Lahore (PC Hotel) iliyopo Mall Road, Shara-e-Quaid-e-Azam.
Endelea kujidangaya, hunisumbui hata kidogo.Yani ukishakula dagaa zako hapo Tandale unaota ota vitu vya ajabu ajabu
Duuh! Eti Bao Moja Kwa Mil 50 na Duka Juu.Mimi nazaa Na washua wewe? Bao moja m 50 Na duka kariakoo .wewe utaweza?
Masaa kadhaa yaliyopita nimewasili hapa Pakistan,asikwambie mtu hakuna maendeleo,barabara mbovu, mazingira machafu ,Kuna mama ntilie wa kiarabu Kila Kona, mazingira ya migahawa machafu,Hawa waarabu wanaishi Bongo, huku kwao Ni maskini vibaya mno, tayari nimekutana na mwenyeji wangu,taarifa na picha zaidi zinakuja..
Sina nia ya kukusumbua mkuu ila nimefurahisha na ndoto zako zaki LumumbaEndelea kujidangaya, hunisumbui hata kidogo.
Hatimaye Miss Natafuta akutana na kikomo chake.
Shauri yako, wewe endelea kujidanganya tu.Sina nia ya kukusumbua mkuu ila nimefurahisha na ndoto zako zaki Lumumba
Mkuu achana na hilo jitu,hilo ni dume limo humu kuwadaka wanaoipinga serikaliAfter 3 weeks,unanimiss unajua Mimi Ni Nani?
Alikukataa kwa sababu you're not her main target, anatafuta wakosoaji wa serikali ya ccm ili awapoteze..Sina wa kunichombeza rafiki!.....Hivi kwa nini ulinikataa lakini na chura lako lote hilo??
Inaonekana wewe hujawahi kwenda nje ya Tanzania, Pakistan mbona nchi ya kawaida sanaMtu yuko zake uswekeni maramba mawili kwenye chumba Chenye joto kajilaza baada ya kushiba Dona na dagaa wa Mwanza huku akipigwa upepo na feni la Dolphin kutoka China , anawadanganyeni kuwa Yuko Pakistan.
'';;!!
Koro Show.... kwanza....huko hakuna tofauti na Chato....Masaa kadhaa yaliyopita nimewasili hapa Pakistan,asikwambie mtu hakuna maendeleo,barabara mbovu, mazingira machafu ,Kuna mama ntilie wa kiarabu Kila Kona, mazingira ya migahawa machafu,Hawa waarabu wanaishi Bongo, huku kwao Ni maskini vibaya mno, tayari nimekutana na mwenyeji wangu,taarifa na picha zaidi zinakuja..