Kwan we huwezi mkuuAisee,mwanamke kutongoza si umalaya....ukimpenda mtu mwambie....maana hata kutongozwa na kukubali bado utaitwa malaya cute.....uoga unatuponza....Miaka 2 bila kushtuliwa kiungo!?![]()
HahahahaHaya unanicheka okay mie kwa mapenzi na ntu humu hapana so usiogope
JAmani nachekwaHahahaha
Ni changamoto tu za mahusiano, inabidi kuzizoea na kuzitatua pale panapo wezekanaDuuuh🤔🤔🤔..
Kwakweli wacha nikae mguu sawa na mimi yasinikute
Hahahaha..eeh we una matatizo..mtu asifurahi ? Aisee hii jioni tafuta sehemu ukae umwagilie moyoJAmani nachekwa
Sasa unanicheka tu sio.vyema.nampango wa kuanza bangi yaami nirudie mwanzo ni kujitusha tu na mamen wakihindiHahahaha..eeh we una matatizo..mtu asifurahi ? Aisee hii jioni tafuta sehemu ukae umwagilie moyo

Sawa wewe nenda tu lakini utanikumbuka, ngoja nihamishie majeshi kwa ka Depal labda kenyewe katanielewa!Sawa😂
Na ikawe heri kwenu. Mungu awajalie watoto wengi na wenye afya. Mtoto wenu wa kwanza akiwa wa kiume muiteni Prakatatumba abaabaabaa




Yes nipo kundi la hovyo na ndio maana nareply thread za hovyo hovyo za Manunga yembe ya Jf.Pole sana mkuu, inaonekana ndo unanifahamu leo.. Pitia nyuzi zangu zote uone halafu fananisha na ulichokiandika
Umeongea kwa uchungu, halafu ukute ni mwanaume hovyoooo![]()