Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,915
- Thread starter
- #781
Pole sana mkuu, inaonekana ndo unanifahamu leo.. Pitia nyuzi zangu zote uone halafu fananisha na ulichokiandika😂😂Kelele nyingiii, serious rship hazielezewi Jf, hizi ni sehemu za mbwembwe na kujifariji baada ya kupigwa matukio ya kutosha.
Atakachofanya huyu ni akipigwa chini hutaona ushuhhda wake wa kupigwa chini.
Ila all in all kwetu wanaume wenye darubini kali mwanamke anae andika andika sana mitandaoni ni wale wasiofugika (much knows).
Umeongea kwa uchungu, halafu ukute ni mwanaume hovyoooo🙃🙃🤓😂🙌

