ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 55,119
- 129,161
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah!Hiyo paragraph ya mwisho ni ya kuomba kufadhiliwa na mbususu kenge we.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah!Hiyo paragraph ya mwisho ni ya kuomba kufadhiliwa na mbususu kenge we.
Wakuu!
Nimetimiza miaka ipatayo 7 na miezi mitatu bila mahusiano. Naikumbuka sana tarehe hii 21/9/2015 kiumbe yule aliponipiga pigo zito, hali ilopelekea kufunga rasmi kitabu cha mahusiano. Sidhani kama nitakuja kuwa sawa kwasababu lile pigo liliniathiri sana kisaikolojia.
🤣🤣🤣🤣 Sijambo kipenzi..nimecheka sanaSissy hujambo…hivi wewe sio huyu kweli!
View attachment 2126106
Wakuu!
Nimetimiza miaka ipatayo 7 na miezi mitatu bila mahusiano. Naikumbuka sana tarehe hii 21/9/2015 kiumbe yule aliponipiga pigo zito, hali ilopelekea kufunga rasmi kitabu cha mahusiano. Sidhani kama nitakuja kuwa sawa kwasababu lile pigo liliniathiri sana kisaikolojia.
ILA, Mbususu natunukiwa na baadhi yao ambao wana hisia na mimi ila mimi sina hisia nao kabisa. So sometimes wapo watakao jaribu kunishawishi kwa kila namna ili nikunjue moyo, maana nimekunja haswaa! Ila bado sijaona wa kunishawishi kabisaaa kuanza mahusiano. Japokuwa mpaka sasa nina takribani mwaka na mwezi mmoja sijagusa mbususu ya mtu (nadhani hii ni kutokana na harakati za utafutaji).
Fanya ile kitu alasivyo kitaumana ujue we niletee ufupi wako Sasa nitakukarabati nakupa last chance..😎Sasa blaza ujio wako ulikuwa wa kiwaki so nilikuwa sina namna zaidi ya kukufyekelea mbali.
Umesema kama mbwai mbwai sio!sasa msimamo nauongeza mara dufu Blaza kama hao wachumba wanataka mwanamke legelege fresh tu bora nibaki singo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Unaakili mbaya sana KENZY 😆😆😆
Punguza Nyasi blazaFanya ile kitu alasivyo kitaumana ujue we niletee ufupi wako Sasa nitakukarabati nakupa last chance..😎
Yaani mwezi mmoja tu ?? [emoji16]Hauko peke yako hata mimi hapa nina mwezi mmoja sijagusa ndizi mbivu... yani nimeamua nikusubiri wewe hadi utakapoamua kufungulia ladies free niwahi siti namba 1 [emoji2088]
[emoji16][emoji16]Wewe utakua ALEXX aisee
Tulia si umeamua iwe mbwai mbona dakika za awali tu kilio..😂Punguza Nyasi blaza
Mdogo sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani mwezi mmoja tu ?? [emoji16]
njoo nikupe ndizi orijinal kubwa ya moto bila ganda ule ushibe.Hauko peke yako hata mimi hapa nina mwezi mmoja sijagusa ndizi mbivu... yani nimeamua nikusubiri wewe hadi utakapoamua kufungulia ladies free niwahi siti namba 1 [emoji2088]
One Man Down! I Repeat Man Down.Hapo unamkomoa kinoma aliyekutenda.
LATA MANGSHIKAR Ndiyo Nadhani Ana Record ZakoWakuu!
Nimetimiza miaka ipatayo 7 na miezi mitatu bila mahusiano. Naikumbuka sana tarehe hii 21/9/2015 kiumbe yule aliponipiga pigo zito, hali ilopelekea kufunga rasmi kitabu cha mahusiano. Sidhani kama nitakuja kuwa sawa kwasababu lile pigo liliniathiri sana kisaikolojia.
ILA, Mbususu natunukiwa na baadhi yao ambao wana hisia na mimi ila mimi sina hisia nao kabisa. So sometimes wapo watakao jaribu kunishawishi kwa kila namna ili nikunjue moyo, maana nimekunja haswaa! Ila bado sijaona wa kunishawishi kabisaaa kuanza mahusiano. Japokuwa mpaka sasa nina takribani mwaka na mwezi mmoja sijagusa mbususu ya mtu (nadhani hii ni kutokana na harakati za utafutaji).