Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,590
- 6,957
Mkuu mimi sijawahi kupata malezi ya mzazi,so kwa sioni umuhimu wa kuoa. So hata ukiniuliza faidaza ndoa nitakosa majibu.
Liverpool VPN 😁😁😁
Sawa mkuu
Mkuu mimi sijawahi kupata malezi ya mzazi,so kwa sioni umuhimu wa kuoa. So hata ukiniuliza faidaza ndoa nitakosa majibu.
Hongera sanaWakuu!
Nimetimiza miaka ipatayo 7 na miezi mitatu bila mahusiano. Naikumbuka sana tarehe hii 21/9/2015 kiumbe yule aliponipiga pigo zito, hali ilopelekea kufunga rasmi kitabu cha mahusiano. Sidhani kama nitakuja kuwa sawa kwasababu lile pigo liliniathiri sana kisaikolojia.
ILA, Mbususu natunukiwa na baadhi yao ambao wana hisia na mimi ila mimi sina hisia nao kabisa. So sometimes wapo watakao jaribu kunishawishi kwa kila namna ili nikunjue moyo, maana nimekunja haswaa! Ila bado sijaona wa kunishawishi kabisaaa kuanza mahusiano. Japokuwa mpaka sasa nina takribani mwaka na mwezi mmoja sijagusa mbususu ya mtu (nadhani hii ni kutokana na harakati za utafutaji).
ni ndizi mshale zile nene ndefu zilizo simama wima na kukaza kama muhogo, ya motoooo. Unapimiwa na kujipimia mwenyewe unashibaLols ukute ndizi kisukari halafu imeorojeka
Me naaminia ndizi ya makaveli10 tu
[emoji23][emoji23] tukomae mkuuPesa ndugu yangu inasakwa mpaka sio poa tena katika mazingira magumu sana.[emoji23][emoji23]
[emoji56][emoji56][emoji56][emoji23][emoji23][emoji23]makaveli10ni ndizi mshale zile nene ndefu zilizo simama wima na kukaza kama muhogo, ya motoooo. Unapimiwa na kujipimia mwenyewe unashiba
mpaka utataja list ya majina ya wapenzio wote ikiwemo la makaveli10 na kuwaita vibamia.
njoo nikupe pipe mpaka makaveli10 umwite mbususu.[emoji56][emoji56][emoji56][emoji23][emoji23][emoji23]makaveli10
Mnaojisifia ndio hakunaga kitunjoo nikupe pipe mpaka makaveli10 umwite mbususu.
Bora ujinyoge tu Kama miaka Sana Bado unaugulia maumivu.Wakuu!
Nimetimiza miaka ipatayo 7 na miezi mitatu bila mahusiano. Naikumbuka sana tarehe hii 21/9/2015 kiumbe yule aliponipiga pigo zito, hali ilopelekea kufunga rasmi kitabu cha mahusiano. Sidhani kama nitakuja kuwa sawa kwasababu lile pigo liliniathiri sana kisaikolojia.
Ila, Mbususu natunukiwa na baadhi yao ambao wana hisia na mimi ila mimi sina hisia nao kabisa. So sometimes wapo watakao jaribu kunishawishi kwa kila namna ili nikunjue moyo, maana nimekunja haswaa! Ila bado sijaona wa kunishawishi kabisaaa kuanza mahusiano. Japokuwa mpaka sasa nina takribani mwaka na mwezi mmoja sijagusa mbususu ya mtu (nadhani hii ni kutokana na harakati za utafutaji).
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Aisee ukisema utafute asieomba helaaa mbona utaishia kupiga nyeto mkuuYaani unaacha kuwa na mahusiano eti kuna mtu aliku-disappoint?
Anyway, hata nami nina 7 years now lakini sio kwa sababu eti kuna mtu alini-disappoint bali kila siku na-feel nipo 100% FREE nikiwa single kuliko nikiwa kwenye mahusiano!!
Huwa sipendi bughudha kabisa kwenye mfumo wangu wa maisha...
Halafu tena hawa mademu sijui wapoje...
Juzi nimekutana nao wawili, na wote wameomba pesa just within 24 hours... wote nishawa-block!!
Leo nikiwa sehemu yangu ninayogangia njaa nikakutana na kademu kamoja! Nimefika home, nikaona ngoja nimcheki nae tayari keshaomba eti pesa ya salon...
Kabla sijalala na yeye nam-block kisha narejea tena na utaratibu wangu wa kukaa mbali na hawa viumbe!
Very stupid.
Ndiyo Dr Love naona unatoa materials ya mwanzo kabisa wa koziAcha ujinga, [emoji16][emoji16]
Ishi maisha yako , furahia dunia acha kuwaza waza ujinga kuhusu huyo aliye kucheat, Alisha kucheat ndio , so Nini kilichobadilika toka kwako ,!? Umekufa,!? Au ulipoteza kiungo kimoja wapo ktk mwili !? , It doesn't matter ulipitia mapito gani maisha yanapaswa kuendelea, usisite kuwa in serious relationship eti kisa uliumizwa wakati huo huo mwenzako aliye kuumiza anaendelea kuishi Maisha yake huko
Kuna nyimbo moja AY yupo inaitwa Toa helaYaani unaacha kuwa na mahusiano eti kuna mtu aliku-disappoint?
Anyway, hata nami nina 7 years now lakini sio kwa sababu eti kuna mtu alini-disappoint bali kila siku na-feel nipo 100% FREE nikiwa single kuliko nikiwa kwenye mahusiano!!
Huwa sipendi bughudha kabisa kwenye mfumo wangu wa maisha...
Halafu tena hawa mademu sijui wapoje...
Juzi nimekutana nao wawili, na wote wameomba pesa just within 24 hours... wote nishawa-block!!
Leo nikiwa sehemu yangu ninayogangia njaa nikakutana na kademu kamoja! Nimefika home, nikaona ngoja nimcheki nae tayari keshaomba eti pesa ya salon...
Kabla sijalala na yeye nam-block kisha narejea tena na utaratibu wangu wa kukaa mbali na hawa viumbe!
Very stupid.
Of course, wapo wachache sana wasioomba pesa, na kwangu wala sioni tatizo kuombwa pesa but ndo kwanza mmekutana... mme-chat hata message 10 hazijafika anaomba pesa?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Aisee ukisema utafute asieomba helaaa mbona utaishia kupiga nyeto mkuu
Mkuu utazeeka
Hakuna kitu muhimu kama mapenzi
Watalaamu wanashauri angalau kwa week ufanye mara2
Unanishangaza unaposema una mwaka hujaduu
Au Wewe Chaputa.
Acha ujinga, [emoji16][emoji16]
Ishi maisha yako , furahia dunia acha kuwaza waza ujinga kuhusu huyo aliye kucheat, Alisha kucheat ndio , so Nini kilichobadilika toka kwako ,!? Umekufa,!? Au ulipoteza kiungo kimoja wapo ktk mwili !? , It doesn't matter ulipitia mapito gani maisha yanapaswa kuendelea, usisite kuwa in serious relationship eti kisa uliumizwa wakati huo huo mwenzako aliye kuumiza anaendelea kuishi Maisha yake huko
Hela kwa ajili ya kununua, ama?!Kuna nyimbo moja AY yupo inaitwa Toa hela