mwenzio huyoMkuu kwa mtazamo wangu kuna mambo ya MUHIMU ila sio LAZIMA,mfano Kubanjua.
Maisha hayana formula [emoji16]Huyu alieniumiza nahisi atakua anataabika tu kwa sasa,chozi la mwenye haki halipotei bure.
Mi namwangalia tu😂😂[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] shauri yake
Kaka nipo pilika nyingi umri unasonga. So najaribu kukimbizana na mudaMi namwangalia tu[emoji23][emoji23]
Umepotea sana chief
Akili yako ni ngumu sana kuielewa blazaMi mtu akishasema hayupo kwenye mahusiano lkn anafanya ngono basi simuhesabu kuwa yupo single!. Hapo ni sawa na kusema huna mahusiano na huduma ila unapata huduma!.. ukiamua kuacha acha kabisa usituletee balaa sie.
Lengo lenu haswa la kuuchunia utamu ni nini?Inawezekana kabisa Mkuu, kama nimetoboa kwa huu mwaka mmoja na mwezi mmoja,naamini hata miwili itawezekana. Jambo la kuzingatia uwe na kazi inayokuweka bize sana na inayokuchosha sana, ili ukilala unalala kama ubao.
Kaka ee safi👊🏿👊🏿Kaka nipo pilika nyingi umri unasonga. So najaribu kukimbizana na muda
Sahivi niite mtumishi tu maana fujo ulizonifanyia sijapenda..😎Akili yako ni ngumu sana kuielewa blaza
Sentence yako inautata mheshimiwa blaza mtumishiSahivi niite mtumishi tu maana fujo ulizonifanyia sijapenda..😎
Utata ushaniletea wewe sijui umekuwaje tu umekuwa na roho mbaya sana yani inatisha! Niite mtumishiSentence yako inautata mheshimiwa blaza mtumishi
Kwahiyo unataka kutoboa siri kuwa nilikuchinjia baharini🤪Utata ushaniletea wewe sijui umekuwaje tu umekuwa na roho mbaya sana yani inatisha! Niite mtumishi
Kama mbwai iwe mbwai tu kwani nini..😂Kwahiyo unataka kutoboa siri kuwa nilikuchinjia baharini🤪
Usifanye hivyo utafanya Nikose wachumba pm blaza
Kabisaaa [emoji457][emoji457][emoji16]Kaka ee safi[emoji1534][emoji1534]
Maisha ni kupambana vinginevyo tutakuja kuwasumbua watoto kwenye ndoa zao wakose uhuru wa kupiga game sebuleni[emoji30][emoji30]
Vijana wenye mioyo ya kina angelo, watizama movie za kifilipino hawawezi kukuelewa mzee, wanaume siku hizi tunaisha tu, mtoto wa kiume unamkuta ana moyo laiiini, eti nae anaumizwa[emoji13], eti ukimtokea mtihani kidogo anajiapiza hawezi kupenda tena, serious, mtoto wa kiume kabisa unajiapiza UPUMBAVU kama huo...Acha ujinga, [emoji16][emoji16]
Ishi maisha yako , furahia dunia acha kuwaza waza ujinga kuhusu huyo aliye kucheat, Alisha kucheat ndio , so Nini kilichobadilika toka kwako ,!? Umekufa,!? Au ulipoteza kiungo kimoja wapo ktk mwili !? , It doesn't matter ulipitia mapito gani maisha yanapaswa kuendelea, usisite kuwa in serious relationship eti kisa uliumizwa wakati huo huo mwenzako aliye kuumiza anaendelea kuishi Maisha yake huko
Kwakweli wanapaswa kubadilika na watambue kwamba zile scene za kifilipino wanazo ziona kwenye tz Yale ni maigizo tu, vile vitu havipo ktk uhalisia wa maisha, na uki- adopted zile scene ktk maisha yako lazima dunia ikuadhibuVijana wenye mioyo ya kina angelo, watizama movie za kifilipino hawawezi kukuelewa mzee, wanaume siku hizi tunaisha tu, mtoto wa kiume unamkuta ana moyo laiiini, eti nae anaumizwa[emoji13], eti ukimtokea mtihani kidogo anajiapiza hawezi kupenda tena, serious, mtoto wa kiume kabisa unajiapiza UPUMBAVU kama huo...
Enzi zangu nishakutana na maseke, ikawa inaniongezea speed ya kuwaTO.. MBA tu,
Ukifuma msg kwenye simu ya kidawa, unamtafuta ashura unaruka, suala la kumuweka mtu moyoni utafikiri ni mama yako mzazi au uliandikisha kwa mungu kuwa huyo ndio wako pekee yako, ndio hayo wapumbavu wanaishia kujinyonga.
Ningekuwa kiongozi wa taifa hili nakuwa kama kiduku wa korea kaskazini, wanaume wenye nyoyo dhaifu kama hawa nawatwanga wote risasi,ukiwa dhaifu wa mapenzi, huwezi kuwa mzalishaji kwa taifa langu. [emoji23]