Hatimaye ni miaka 7 na miezi 3 bila mahusiano

Hatimaye ni miaka 7 na miezi 3 bila mahusiano

Hauko peke yako hata mimi hapa nina mwezi mmoja sijagusa ndizi mbivu... yani nimeamua nikusubiri wewe hadi utakapoamua kufungulia ladies free niwahi siti namba 1 [emoji2088]
Nikifungulia ni kama mafuriko,utahimili?
 
Owa, achana na malaya. Owa wa std 7 or form4 hutajutia.
Mkuu mimi sijawahi kupata malezi ya mzazi,so kwa sioni umuhimu wa kuoa. So hata ukiniuliza faidaza ndoa nitakosa majibu.
 
Toka nimezaliwa mpaka leo hii sijawahi kuwa na mahusiano, ila mbususu aina zote nazichakata kama kawa.

wanaojifanyaga wapo kwenye mahusiano wananipa, nawala kama natafuna kuku.

na wasio kwenye mahusiano wananipea nachakata kama kawa

wake za watu ndo usiseme wananigombania, na mimi huwa nawapelekea moto wa hatare

kuna mmoja alianambia mumewe anakibamia mwingine akanambia nayajua mapenzi.

ila sipo kwenye mahusiano.
Wewe ni mwamba haswaa!,ila tatizo unachakata mbususu kupita kiasi, na kibaya zaidi unachakata mpaka za wake za watu.
 
Kwa hiyo unajiona mjanja mwenyewe! zikipita siku mbili tatu, unapiga zako puli! Baada ya hapo unakuwa mwepesi! Maisha yanaendelea! Huku jeuri na dharau vikitawala kweli kweli ukiwaona WENYE NCHI!

Shauri yako.
Baada ya miaka kadhaa ijayo, utajikuta huna hata uwezo wa kusimamisha mlingoti kwa muda mrefu. Puli siyo kitu cha kujivunia hata kidogo.
Kwanini moja kwa moja umekimbilia kufikiria suala la Puli? Aliwazalo mtu ndilo alifanyalo. Mkuu mimi hiyo michezo ya bao la mkono si mchezo yangu kabisa. Nasisitiza!
 
Japokuwa mpaka sasa nina takribani mwaka na mwezi mmoja sijagusa mbususu ya mtu (nadhani hii ni kutokana na harakati za utafutaji).

Huo utafutaji n wa pesa au kitu gani mkuu[emoji23][emoji23]
Pesa ndugu yangu inasakwa mpaka sio poa tena katika mazingira magumu sana.[emoji23][emoji23]
 
Mimi mahusiano ya mwisho yaliyodumu kwa miaka 2 ni miaka 6 iliyopita [emoji2]

Hapo kati ni in and out mwezi chali, wiki 2 mbili chali.

Sababu hasa ni vipaumbele mahusiano niliyatoa katika vipaumbeoe vyangu coz niliona yananikwamisha tu na kunitia gharama zisizo na lazima wakati napambana kujenga msingi wa uchumi wangu i had to sacrifice it

Ila mbususu nakula siachi[emoji2]
[emoji1666][emoji1666][emoji1666]Namna hiyo,mahusiano ni kikwazo cha kiuchumi kwa baadhi ya watu kama sisi.
 
LATA MANGSHIKAR Ndiyo Nadhani Ana Record Zako
Mnatofautiana Kidogo Huyo Muimbaji Wa Kuch Kuch Hotahe
Amezaliwa Mpaka Anakufa Hajaguswa Na Hakuacha Mtoto

Japo Ana Heshma Kubwa Huko India
Wengine Condoleezza Rice Wa US
Mimi mtoto nitaacha Inshallah!
 
Yaani unaacha kuwa na mahusiano eti kuna mtu aliku-disappoint?

Anyway, hata nami nina 7 years now lakini sio kwa sababu eti kuna mtu alini-disappoint bali kila siku na-feel nipo 100% FREE nikiwa single kuliko nikiwa kwenye mahusiano!!

Huwa sipendi bughudha kabisa kwenye mfumo wangu wa maisha...

Halafu tena hawa mademu sijui wapoje...

Juzi nimekutana nao wawili, na wote wameomba pesa just within 24 hours... wote nishawa-block!!

Leo nikiwa sehemu yangu ninayogangia njaa nikakutana na kademu kamoja! Nimefika home, nikaona ngoja nimcheki nae tayari keshaomba eti pesa ya salon...

Kabla sijalala na yeye nam-block kisha narejea tena na utaratibu wangu wa kukaa mbali na hawa viumbe!

Very stupid.
 
Yaani unaacha kuwa na mahusiano eti kuna mtu aliku-disappoint?

Anyway, hata nami nina 7 years now lakini sio kwa sababu eti kuna mtu alini-disappoint bali kila siku na-feel nipo 100% FREE nikiwa single kuliko nikiwa kwenye mahusiano!!

Huwa sipendi bughudha kabisa kwenye mfumo wangu wa maisha...

Halafu tena hawa mademu sijui wapoje...

Juzi nimekutana nao wawili, na wote wameomba pesa just within 24 hours... wote nishawa-block!!

Leo nikiwa sehemu yangu ninayogangia njaa nikakutana na kademu kamoja! Nimefika home, nikaona ngoja nimcheki nae tayari keshaomba eti pesa ya salon...

Kabla sijalala na yeye nam-block kisha narejea tena na utaratibu wangu wa kukaa mbali na hawa viumbe!

Very stupid.
Mkuu hawa viumbe ni wakukaa nao mbali sana.
 
Back
Top Bottom