Hatimaye Mbowe apewa dhamana

Kwa dhati kabisa ninakubaliana nawe. Nipeni tu meeting station then mtanikuta hapo mie nitaongoza kwa hapa dar.
 
Hakukuwa na sababu za kumyima dhamana kwanza amejipeleka mwenyewe polisi, badala ya kukamatwa hii inaonyesha kuwa hata kama hakufika mahakamani hakuwa na nia ovu.
 
nani asingekaa?? msitume post hizi mkiwa kilwa, bado kama kufa wangekufa wananchi tu, in the name of politics, mtu kafanya uzembe wa kutoenda mahakamani, watu kama wewe wanarukaruka wakisema ni mpambanaji! you have to think twice!

muda umepotea bure na situation kama hizi two things may happen, credibility ya chama kupanda au kushuka vibaya mno!

guess what??

Mahakama inayofanya kazi kwa maagizo ya dola ya ccm! Kwa kesi isiyo na mashiko! What are you trying to tell us?
 
That's politics..I agree..yaani huko bungeni ..chochote watakachopinga Chadema wananchi wataona ni sawa..
 
Kutoakana na matukio yaliyotokea hivi karibuni na yanayoendelea kutokea hivi sasa, CDM imeonesha kuwa imara na yenye umoja thabiti.

Tukianza na maandamano ya nyanda za juu kusini, viongozi wote wa kitaifa na wafuasi walishiriki kwa ukamilifu, na zaidi ni pale Mh. Zitto alipoweka wazi kuwa CDM ni wamoja, na wanaongea lugha moja.
Tukija suala la kukamatwa kwa Mh Mbowe, viongozi na wapenzi wa CDM wameonesha mshikamano usio kifani.
Suala hili ni tishio kubwa sana kwa CCM, kwa kuwa wamezoea kuvuruga vyama vya upinzani kwa njia ya kuwagawa. Sasa hivi CCM inajua kuwa haipendwi na haiwezi kuwavuruga kama ilivyofanya kwa vyama vingine vilivyokuwa maarufu hapo kabla.
Silaha kubwa katika kujipatia mafanikio zaidi n i; umoja usio na unafiki, demokrasia ya kweli ndani ya chama, kitengo imara cha intelejensia, uwazi na utawala bora,chama kwanza na si mtu kwanza, hii itasaidia chama kutotegemea umaarufu wa watu wachache.
 
yaani saa hizi nina uhakika Mkulo jasho linamtoka mikononi.....
 
Chama cha wanasheria Tanzania (Tanganyika Law Socitiety - TLS) kimesema mahakama haikutumia busara kwenye suala la Mh. Freeman Aikael Mbowe. Rais wa Chama hicho Francis Stolla akizungumza na Radio Sauti ya Ujerumani (Deutsche Welle) alisema katika kipindi hiki ambocho bunge la bajeti linakaribia mahakama ingeweza kusubiri mpaka shughuli ya bunge iishe kwani Mbowe ni mtu anayeweza kupatikana.

Aidha amesema hata polisi hawakutumia busara kutomwachia mapema na kumtaka aende mahakamani yeye mwenyewe, kwani ni mtu anayejulikana na si mhalifu sugu.
 
Serikari ya CCM inalaana ya watanzania,ccm ni malimbukeni wakubwa,dhuruma wanaifanya haivumiliki
 
Pipoooozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz Pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
:majani7::majani7::majani7::majani7:
 
Sidhani kama katika jeshi la polisi la ccm kuna mtu wa kuyafikiria hayo wala katika mahakama hakuna mtu wa maana wa kutoa constructive ideas kama hzo. Tunashukuru kwa wanataasisi kma hawa kwa michango yao ya kimawazo ya kuwaamsha ipo siku watakumbuka shuka wakati kumekucha.
 
Kama yameruhusiwa tuandamane la.. turudi majumbani/kazini tuwaache wabunge wa cdm waandamane wenyewe.
 
Watanzania tuamke tutoke kwenye usingizi wa magamba na ufisadi tunaitaji kuundamana hadi kikwete ajiuzulu yeye na serikali yake yote kazi wa mwshindwa si kwenye maendeleo ya jami haki za binadamu hawa zijui
 
labda walimkamata wamchome sindano ya sumu afe kipolepole, hawa jamaa wa magamba ni mafia aisee, km wanataka kujaribu kuwa mafia mabingwa wa umafia (RACHEL) ndani ya chama chao unategemea nini kwa waliopo nje ya chama chao ambao pia ni tishio kwao????
 
Tuna vitu vingi sana vya kufanya kuindoa CCM madarakani kwa Mbowe kukamatwa na kuachilia mi sioni kama kuna logic ya kuandamana. Tufanye kazi
 
Mahakama inayofanya kazi kwa maagizo ya dola ya ccm! Kwa kesi isiyo na mashiko! What are you trying to tell us?
CCM ina taabu nyingi sana sasa hivi. Sidhani kama wanahangaika na kuruka dhamana kwa Mbowe. Mwambieni Mbowe na viongozi wetu wengine wa CHADEMA wajitofautishe kidogo na Mchungaji Mtikila. Tunawahitaji mno kwenye agenda za kitaifa kama Katiba mpya, Gharama kubwa za maisha kwa WATANZANIA, Ufisadi ambao walikuwa wameusimamia vizuri,.....
 
Back
Top Bottom