Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,788
- 218,420
Wakuu, Natanguliza Salamu na baada ya hapo naingia moja kwa moja kwenye hoja .
Kama tulivyosema awali, mchana huu ni zamu ya Njombe Mjini ambako Viongozi wa Chadema wakiongozwa na Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar watahutubia.
Haya yalikuwa maandalizi ya eneo la mkutano mida ya saa 2 asubuhi.
Kwa Muhtasari tu ni kwamba , Unyama waliofanyiwa viongozi wa Chadema Njombe na ile serikali ya kinyama ya awamu ya 5 , hauelezeki , mpaka nina andika haya wanachama na viongozi kadhaa wa Chadema wako jela kwa makosa ya uongo , akiwemo diwani wa zamani wa eneo hilo Kijana George Sanga na wenzake , ambao wamebambikwa kesi ya uongo ya mauaji , hawa wako jela kwa zaidi ya miaka miwili
Just Imagine , Mtu anasingiziwa kesi nzito kama hii kwa sababu ya Udiwani tu , tena udiwani wenyewe wa maparachichi ya Njombe , Angalieni ukatili huu , hivi unawezaje kuwasamehe au kuwaombea watu waliofanya haya ?
Rose Mayemba mara kadhaa amenusurika kuuawa kwa kosa la kuwa kiongozi wa Chadema , leo kama kweli mbinguni kuna moto basi nina hakika kuna mtu kabaki majivu matupu .
Ninawaomba Viongozi wa Chadema kabla ya Mkutano watenge japo dk 5 za ukimya kuomboleza waliouawa , kuteswa , kutekwa na kufungwa jela kwa kesi za uongo
Basi kama kawaida yule mwandishi wenu Erythrocyte atawaletea kila kinachojiri
Usiondoke JF
===========
UPDATES :
Hatimaye Msafara wa Chadema umeingia Mjini Njombe na kulakiwa na Umati wa watu kwa maelfu .
Freeman Mbowe apewa heshima ya Uchifu na Wazee.
Kama tulivyosema awali, mchana huu ni zamu ya Njombe Mjini ambako Viongozi wa Chadema wakiongozwa na Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar watahutubia.
Haya yalikuwa maandalizi ya eneo la mkutano mida ya saa 2 asubuhi.
Kwa Muhtasari tu ni kwamba , Unyama waliofanyiwa viongozi wa Chadema Njombe na ile serikali ya kinyama ya awamu ya 5 , hauelezeki , mpaka nina andika haya wanachama na viongozi kadhaa wa Chadema wako jela kwa makosa ya uongo , akiwemo diwani wa zamani wa eneo hilo Kijana George Sanga na wenzake , ambao wamebambikwa kesi ya uongo ya mauaji , hawa wako jela kwa zaidi ya miaka miwili
Just Imagine , Mtu anasingiziwa kesi nzito kama hii kwa sababu ya Udiwani tu , tena udiwani wenyewe wa maparachichi ya Njombe , Angalieni ukatili huu , hivi unawezaje kuwasamehe au kuwaombea watu waliofanya haya ?
Rose Mayemba mara kadhaa amenusurika kuuawa kwa kosa la kuwa kiongozi wa Chadema , leo kama kweli mbinguni kuna moto basi nina hakika kuna mtu kabaki majivu matupu .
Ninawaomba Viongozi wa Chadema kabla ya Mkutano watenge japo dk 5 za ukimya kuomboleza waliouawa , kuteswa , kutekwa na kufungwa jela kwa kesi za uongo
Basi kama kawaida yule mwandishi wenu Erythrocyte atawaletea kila kinachojiri
Usiondoke JF
===========
UPDATES :
Hatimaye Msafara wa Chadema umeingia Mjini Njombe na kulakiwa na Umati wa watu kwa maelfu .
Freeman Mbowe apewa heshima ya Uchifu na Wazee.