Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,391
- 81,867
Nyinyi ndugu zangu humu jukwaani ni mashahidi. Kijana wetu leo ametulia sana humu jukwaani. Bila shaka alisafiri kutoka kwao Mbozi, mpaka Mbeya Mjini ili kwenda kuwaona Makamanda wa Chadema live! Yaani moyo wake utakuwa umesuuzika baada ya kuwaona Makamanda kama Lissu, Mbowe, na wengineo live badala ya kuwaona kupitia luninga.
Kama mambo yataendela kuwa hivi, naamini muda si mrefu huyu Kijana wetu Mzalendo anaweza kuvaa magwanda na kuwa Kamanda wa Chadema ili kupigania ukombozi wa hii nchi kutoka kwa hawa Wakoloni wetu weusi.
Kama mambo yataendela kuwa hivi, naamini muda si mrefu huyu Kijana wetu Mzalendo anaweza kuvaa magwanda na kuwa Kamanda wa Chadema ili kupigania ukombozi wa hii nchi kutoka kwa hawa Wakoloni wetu weusi.