jtwentytwo
Senior Member
- Apr 7, 2015
- 194
- 26
tutoleeee apaaa taarifaaa zakoo za kitoto.....unazani hatujuikilicho mpata mamviii huko tundumae.....hizooo taarifa peleka ufipani.....
Eti screen kadanganye wagawa 0715 wenzakoHuna jipya sema uambiwe nini kinaendelea. Jamaa hapo wengine wanaangalia Screen na wengine wanaangalia direct kwa kiongozi wenu wa Tano Mh. Magufuli. Huna jipya wewe, VILOBA tu ndio vimekuharibu akili.
Neeeeexxxxxxxxxxt
Nisingesoma post yako nisingekomenti chochote,naona unaleta dharau,hapo ndo nyumbani kwao!!! Kojoa kalale.
Hivi hamuoni kuwa hii ni janja ya nyani?
Mzee alikuwa taabani, alipitisha muda wake wa kuchomwa sindano so hakukuwa na namna ni lazima tu ahairishe mkutano.
Eti system mbili tofauti zote ziligoma wakati wa kutaka kuzungumza yeye... Are you serious? hivi wanataka kura ili watuongoze au wajinufaishe wao wenyewe?
Tumes'tuka... hatuwapi kura katu, Rais wetu ni Magufuli
Huna ujualo wewe zaidi ya kubebwa kama kokoto. Tokea lini kokoto zikahoji wapi zinapelekwa.Eti screen kadanganye wagawa 0715 wenzako
Hakuna anye lalamika hapa zaidi ya kuwapasha habari.Hiyo itakusaidia kushinda sasa unalalamika nini?
Wadau wa JF na wote ambao mtasoma uzi.
Kuna uzi umeanzishwa na idawa kuwa Lowasa ameshindwa kuhutubia mkutano wa Tunduma leo hii na kuzua sababu nyingine ambazo ni uwongo.
Usahihi au ukweli wa jambo hilo ni huu. CDM kesho wana mkutano mkubwa Mbeya Mjini, hivyo gari gari mbili zipo jijini Mbeya kwa ajili ya matayarisho ya mkutano huo. Tunduma ilipelekwa gari moja ambayo mitambo ilikorofisha mida ya saa kumi baada ya kutokea hitilafu kwenye jenereta. Juhudi za mafundi kurekebisha zilizshindikana na kaumuru PI system iliyokuwa inatumia pale Tunduma iitwe. Ilipofika ilishindwa kusukuma spika zile kubwa zilizopo uwanjani hali iliyopelekea kuahirishwa mkutano.
Lakini wananchi wa Tunduma wamelielewa hilo na wana imani na Lowasa na kesho wameahidi kujitokeza kumsikiliza tena mgombea huyo wa UKAWA kwa wingi ule ule.
La kutia moyo ni kwamba crue nzima ya ITV ipo Jijini Mbeya kwaa ajili ya kurusha mkutano huo moja kwa moja kutoka jiji hilo ambao ni ngome ya CDM kwa muda mrefu. Mkutano utaorushwa si ule wa Tunduma ambao umeahirishwa.
Huo ndiyo ukweli wa kilichotokea Tunduma.
Nawasilisha.
Lowassa is not honorable. He is corrupted.He is more than serious, I hope you will vote for changes. HONOURABLE LOWASSA FOR BRIGHT FUTURE OF OUR COUNTRY
You don't have any facts.
lowassa ameshindwa kuhutubia leo tunduma kisa vyombo vinasumbua.
Katika team yake ya kampeni hakuna aliepanda jukwaani zaidi ya mbowe kwa dakika moja kuwaeleza wananchi kuwa tatizo ni vyombo.
Furahisha mwanza magufukika
Kumbe Microphone zinafanya kazi. Hapo sasa kawadanganye WAKIWA wenzako kuwa ni Mike zenye shida huku wataalamu tukifahamu kuwa jamaa yenu ni mgonjwa na labda ni teja vile vile.
swali ni kwamba!:MBOWE na WASANII waliongea kupitia Vipza sauti vipi?