kama unafikir afya yake siyo nzuri mpe mama yako mzazi
Boss mbona unatokwa na povu!!? Mwenzio si ametoa mawazo yake tu. Acha hasira bana
kama unafikir afya yake siyo nzuri mpe mama yako mzazi
Uliangalia shed yetu? hiyo karatu ilwekwa wapi?
Habari hii si ya kweli kwa kusingizia vipaza sauti. Ukweli ni kuwa waliona watu sio wengi sana kama walivyotegemea. Wakaona aibu kuendelea ingeshusha morali ya mashabiki.Wadau
Kwenye taarifa ya habari ya leo I TV. ...saa mbili. .ukawa wamelazimika kuahirisha mkutano kutokana na vipaza sauti kuwa vibovu. ..hii wadau imekaaje. ..nimefikiria sana shida ni nini;.... .nani hakuwajibika na nini kifanyike ili hii changamoto na aibu isijirudie tena. ...karibuni kwa michango ya kujenga kwa team ya campaign ya ukawa dakika hizi za lala salama.
Hiyo picha wameunga watu wa CDM. Nao ni maarufu ktk kuunga unga. Uzuri CCM wana rusha live mikutano yao. Kidumu chama kigumu kutoka madarakani!!!!
Lowassa kwisha habari yake.CHADOMO wameshikwa PABAYA....NGUVU ZA MISUKULE KUTOKA KWA ASKOFU WAO MKUU NA PETE YA NIGERIA LEO HAVIKUFANYA KAZI!
Mkuu huenda atahutubia saa tatu usiku kupitia ITV,au tutapata taarifa kuwa tukasome hotuba kwenye mitandao,kwa visingizio na vijisababu,wana UKIWA ni nambari waniTujadili hili pls?
Lakini fikra zangu.
"Me nampenda mungu maana ni muaminifu, anafichua yale yote yanayofanywa sirini, haya sasa, wana tunduma mmeona kwa macho yenu, mmesikiliza mziki mwanzo mwisho, alafu by the time anatakiwa kuongea mzee tu mnaambiwa vimeharibika, that is a cheap reason kutolewa kwa mtu/chama kinachotaka kuongoza nchi, wakat wwngine wote wametumia vyombo hivyoo...na mmetangaziwa mkutano kesho kwa vyombo hivyo hivyo."
Karibuni.
Wadau wa JF na wote ambao mtasoma uzi.
Kuna uzi umeanzishwa na idawa kuwa Lowasa ameshindwa kuhutubia mkutano wa Tunduma leo hii na kuzua sababu nyingine ambazo ni uwongo.
Usahihi au ukweli wa jambo hilo ni huu. CDM kesho wana mkutano mkubwa Mbeya Mjini, hivyo gari gari mbili zipo jijini Mbeya kwa ajili ya matayarisho ya mkutano huo. Tunduma ilipelekwa gari moja ambayo mitambo ilikorofisha mida ya saa kumi baada ya kutokea hitilafu kwenye jenereta. Juhudi za mafundi kurekebisha zilizshindikana na kaumuru PI system iliyokuwa inatumia pale Tunduma iitwe. Ilipofika ilishindwa kusukuma spika zile kubwa zilizopo uwanjani hali iliyopelekea kuahirishwa mkutano.
Lakini wananchi wa Tunduma wamelielewa hilo na wana imani na Lowasa na kesho wameahidi kujitokeza kumsikiliza tena mgombea huyo wa UKAWA kwa wingi ule ule.
La kutia moyo ni kwamba crue nzima ya ITV ipo Jijini Mbeya kwaa ajili ya kurusha mkutano huo moja kwa moja kutoka jiji hilo ambao ni ngome ya CDM kwa muda mrefu. Mkutano utaorushwa si ule wa Tunduma ambao umeahirishwa.
Huo ndiyo ukweli wa kilichotokea Tunduma.
Nawasilisha.
Wadau wa JF na wote ambao mtasoma uzi.
Kuna uzi umeanzishwa na idawa kuwa Lowasa ameshindwa kuhutubia mkutano wa Tunduma leo hii na kuzua sababu nyingine ambazo ni uwongo.
Usahihi au ukweli wa jambo hilo ni huu. CDM kesho wana mkutano mkubwa Mbeya Mjini, hivyo gari gari mbili zipo jijini Mbeya kwa ajili ya matayarisho ya mkutano huo. Tunduma ilipelekwa gari moja ambayo mitambo ilikorofisha mida ya saa kumi baada ya kutokea hitilafu kwenye jenereta. Juhudi za mafundi kurekebisha zilizshindikana na kaumuru PI system iliyokuwa inatumia pale Tunduma iitwe. Ilipofika ilishindwa kusukuma spika zile kubwa zilizopo uwanjani hali iliyopelekea kuahirishwa mkutano.
Lakini wananchi wa Tunduma wamelielewa hilo na wana imani na Lowasa na kesho wameahidi kujitokeza kumsikiliza tena mgombea huyo wa UKAWA kwa wingi ule ule.
La kutia moyo ni kwamba crue nzima ya ITV ipo Jijini Mbeya kwaa ajili ya kurusha mkutano huo moja kwa moja kutoka jiji hilo ambao ni ngome ya CDM kwa muda mrefu. Mkutano utaorushwa si ule wa Tunduma ambao umeahirishwa.
Huo ndiyo ukweli wa kilichotokea Tunduma.
Nawasilisha.
Naona Mifisiem Chup zinavyowabana
Wadau wa JF na wote ambao mtasoma uzi.
Kuna uzi umeanzishwa na idawa kuwa Lowasa ameshindwa kuhutubia mkutano wa Tunduma leo hii na kuzua sababu nyingine ambazo ni uwongo.
Usahihi au ukweli wa jambo hilo ni huu. CDM kesho wana mkutano mkubwa Mbeya Mjini, hivyo gari gari mbili zipo jijini Mbeya kwa ajili ya matayarisho ya mkutano huo. Tunduma ilipelekwa gari moja ambayo mitambo ilikorofisha mida ya saa kumi baada ya kutokea hitilafu kwenye jenereta. Juhudi za mafundi kurekebisha zilizshindikana na kaumuru PI system iliyokuwa inatumia pale Tunduma iitwe. Ilipofika ilishindwa kusukuma spika zile kubwa zilizopo uwanjani hali iliyopelekea kuahirishwa mkutano.
Lakini wananchi wa Tunduma wamelielewa hilo na wana imani na Lowasa na kesho wameahidi kujitokeza kumsikiliza tena mgombea huyo wa UKAWA kwa wingi ule ule.
La kutia moyo ni kwamba crue nzima ya ITV ipo Jijini Mbeya kwaa ajili ya kurusha mkutano huo moja kwa moja kutoka jiji hilo ambao ni ngome ya CDM kwa muda mrefu. Mkutano utaorushwa si ule wa Tunduma ambao umeahirishwa.
Huo ndiyo ukweli wa kilichotokea Tunduma.
Nawasilisha.
Siasa zinaendelea kunoga tu. Ona hii 👇🏼👇🏼Lowassa ameshindwa kuhutubia leo Tunduma kisa Vyombo vinasumbua.
Katika team yake ya kampeni hakuna aliepanda jukwaani zaidi ya Mbowe kwa dakika moja kuwaeleza wananchi kuwa tatizo ni vyombo.