Ninadhani ukisoma kwa makini utagundua tu kuwa Salim wengi wanmkataa kwa rekodi yake!
Hilo la uarabu linakuja baadaye kabisa. Na linaweza hata kuondolewa!
Ni kweli kabisa kuna baadhi ya Makabila yameprove ukabila kwenye nafasi tu cha chini! sasa ukiwa urais si watayafanya hayo makabila kuwa bora kuliko mengine maana mkabila hiyo ndiyo imani yake!
Na wakisha fanya hivyo makabila mengine yatanung'unika na mgawanyiko utanukia!
sidhani kama ni sahihi kabisa kusema kabila fulani halitakiwa kutawala bali ni kuwa makini na kujaribu kuwasomesha ili waelewe kuwa kabila lao siyo bora kuliko mengine. Lakini kubadili tabia ni kazi! ndiyo maana panga pangua wizi ukitokea iwe ndani au nje ya nchi mtu au watu wa kabila fulani utwasikia! hata wizi wa kuwa marekani
http://www.ippmedia.com/ipp/alasiri/2006/05/29/67390.html
Tusipokuwa makni watanzania sasa tutanza kuogogwa nje ya nchi kama wanigeria!!!!!!!
Hilo la uarabu linakuja baadaye kabisa. Na linaweza hata kuondolewa!
Ni kweli kabisa kuna baadhi ya Makabila yameprove ukabila kwenye nafasi tu cha chini! sasa ukiwa urais si watayafanya hayo makabila kuwa bora kuliko mengine maana mkabila hiyo ndiyo imani yake!
Na wakisha fanya hivyo makabila mengine yatanung'unika na mgawanyiko utanukia!
sidhani kama ni sahihi kabisa kusema kabila fulani halitakiwa kutawala bali ni kuwa makini na kujaribu kuwasomesha ili waelewe kuwa kabila lao siyo bora kuliko mengine. Lakini kubadili tabia ni kazi! ndiyo maana panga pangua wizi ukitokea iwe ndani au nje ya nchi mtu au watu wa kabila fulani utwasikia! hata wizi wa kuwa marekani
http://www.ippmedia.com/ipp/alasiri/2006/05/29/67390.html
Tusipokuwa makni watanzania sasa tutanza kuogogwa nje ya nchi kama wanigeria!!!!!!!