Hii ndio inaonyesha rangi zao halisi, halafu kutwa lawama wanazipeleka kwa chadema, kwamba ndio chanzo, uzuri waswahili wanasema njia ya muongo ni fupi sana au za mwizi ni arobaini.
Na amejoin the team kama wenzake, tatizo huwa wanapiga kelele ili nao wawe wanufaika wakiachwa kidogo, wanakuja na thread za kushambulia serikali na kukufanya wqnai suppport chadema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.