Hatimaye Jerry Muro ashinda kesi yake

Hatimaye Jerry Muro ashinda kesi yake

obama alikuwa na jibu moja tu kwa wale ambao hawakuamini kuwa osama amekufa. Obama alisema ' you will never see osama walking on this planet again'. mimi nasema ' you will never see jerry muro employed again'

and who are you by the way?
U r nothing close to anyone who matter! Jerry's fate doesnt depend on you id$#%t!
 
Dah! Pole sana Jerry..Karibu tena uraiani. Lakini naamini utakuwa umeshapata fundisho. Siyo kila mtu ni wa kuchezea ndani ya TZ hii
"

Acha kudumaza mawazo pevu na chanya kwenye ustawi wa nchi, kuachiwa huru kwa Jerry kwa mara nyingine tena inadhihirisha jinsi kiu ya haki na kweli haiwezi kushindwa kwa fitina, chuki na udhalimu wowote ule. Huu ni ushindi mkubwa kwa wachukia rushwa na aina yeyote ya udhalimu, na unyonyaji. Sidhani kama kuna fundisho lolote Jerry kalipata katika kutekeleza majukumu yake katika siku zijazo kama Investigative Journalist sana sana nafikiri kajiweka katika nafasi nzuri ya kufanya na International News Agencies ie BBC, Aljazeera, AFP, CNN etc. Hakuna untouchable under the sun. We should believe on what we are believing and no matter what happens we should keep moving!! So free advice change your attitude......you will see better future.
 
Bahati yake, wangemkaanga, si wanasema hii nchi ina wenyewe, na wenyewe ndio hao sasa walotaka aende lupango.
 
Well done! jamaa alikuwa mwiba sana kwa jeshi la polisi na wala rushwa kwa ujumla!
 
Umafia wa nguvu za dola,umeshindwa na haki ya binadamu
 
Sheria za nchi zinasema ukishashtakiwa mahakamani hutakiwi kuajiriwa tena na kampuni yoyote ile. Huyu Jerry Murro imekula kwake moja kwa moja.

Wewe Mwita25 hizo ni sheria za nchi gani? Bora ukae kimya watu hawatajua u mjinga kuliko kusema na kuwafanya watu waujue ujinga wako.
 
"

Acha kudumaza mawazo pevu na chanya kwenye ustawi wa nchi, kuachiwa huru kwa Jerry kwa mara nyingine tena inadhihirisha jinsi kiu ya haki na kweli haiwezi kushindwa kwa fitina, chuki na udhalimu wowote ule. Huu ni ushindi mkubwa kwa wachukia rushwa na aina yeyote ya udhalimu, na unyonyaji. Sidhani kama kuna fundisho lolote Jerry kalipata katika kutekeleza majukumu yake katika siku zijazo kama Investigative Journalist sana sana nafikiri kajiweka katika nafasi nzuri ya kufanya na International News Agencies ie BBC, Aljazeera, AFP, CNN etc. Hakuna untouchable under the sun. We should believe on what we are believing and no matter what happens we should keep moving!! So free advice change your attitude......you will see better future.
Huyu siyo mwandishi wa habari..hana hata certificate ya uandishi wa habari. Ameidhalilisha sana fani ya uandishi. Kazi ya uandishi ina ethics zake, nafikiri huyu angekuwa amehudhuria angalau kakozi chochote kingemfumbua macho na angekuwa anaifanya vizuri taaluma yake.
 
Wabongo hovyo sana, wanaambiwa kaachiwa huru, hawaamini? Yaani kwa kila kitu kila mtu anakuwa kama Yakobo, sijui kwa nini?
 
No, hapo umedanganya.
Ukishtakiwa, unakuwa nje kwa nusu mshahara. Ukipatikana na hatia unafukuzwa kazi. Ukikoswa kuwa na hatia, unarudishwa.
Kama TBC walimfukuza, nahisi walikosea. Au labda kwa kitu kingine
 
Wabongo hovyo sana, wanaambiwa kaachiwa huru, hawaamini? Yaani kwa kila kitu kila mtu anakuwa kama Yakobo, sijui kwa nini?

Tena siyo Yakobo tu, wengine ni akina Tomaso.............
 
Back
Top Bottom