Hatimaye Jerry Muro ashinda kesi yake

Hatimaye Jerry Muro ashinda kesi yake

walio achiwa ni jerry muro, deogratias na edwin kapama. ni kwamba wameonekana hawana hatia katika kesi ya rushwa ya sh 10,000,000/-. Jerry kasema mapambano bado yanaendelea. kawashukuru viongozi wa dini zote. anasema kawasamehe wote walio panga kumuangamiza wakiwemo viongozi wake, polisi, serikali na wote walioshiriki katika kumuangamiza. anasema yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Kasema sasa kilichobaki ni kuchapa kazi kwa bidii na mapambano yanaendelea.source ITV. Mia
Namsapoti kijana huyu...hongera zake Muro kwa kushinda kesi ya kupikwa....
 
kazi ya kulikomboa Taifa hili kutoka kwenye umasikini unaotokana na Ufisadi,rushwa na ukiukaji wa maadili katika utumishi wa uma ni ya watanzania wote.Aidha wenye nia njema na taifa hili yatupasa tuungane pamoja kwa ajili ya ukombozi.

Nachukua nafasi hii kukaribisha mpiganaji J.Muro katika uwanja wa mapambano baada ya kuwa misukosuko ya hapa na pale kwa utendaji kazi wake.Binafsi namkubali sana. A true Journalist is a Voice of the voiceless,bila shaka Mr.J.Muro amethibitisha hili.Pia nawasihi wandishi na wananchi wote tufanya kazi kwa maendeleo ya taifa letu na si kwa matakwa yetu binafsi.Tuendelee kuwakosoa, kuwabaini, kuwaanika hadharani na kuwachukulia hatua wote wasio na nia njema na taifa hili.Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya leo Star Tv mwandishi huyu wa habari za uchunguzi ( an Investigative Journalist) J.Muro amesikika akisema Mahakama imetendea haki .
 
Unaweza kutupa sababu mbili tatu za kuachiwa huru, such as ushahidi wa mashtaka hautoshelezi, hakuna ukweli wowote wa Jerry kuchukua rushwa etc?

According to TBCCM1
Upande wa Jamhuri umeshindwa kuwasilisha vielelezo/vizibiti/ushahidi wa kutosha ila wakili wa serikali kaema wanakata rufaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Naukumbuka sana ule mjadala wa pingu, ukachagizwa na zile Picha za 'pingu za Sikonge'......

He is a fighter...

Eti pingu ndio ushahidi,
Wakati pingu kwangu nafungia mageti!!
Ha ha ha ha!!!!!
 
Haki ya mtu haipotei japo inaweza kucheleweshwa. Hongera sana Jerry
 
Huyu siyo mwandishi wa habari..hana hata certificate ya uandishi wa habari. Ameidhalilisha sana fani ya uandishi. Kazi ya uandishi ina ethics zake, nafikiri huyu angekuwa amehudhuria angalau kakozi chochote kingemfumbua macho na angekuwa anaifanya vizuri taaluma yake.

"HUYU" unamaanisha J. Muro au???]]]] au ?????]]]]]
kwani kama sikosei kabla ya kuajiriwa TBCCM1 alikwenda kula nondo USA nafikiri Havard ila sikumbuki vizuri sasa hivi kule alisoma nini?? wadau hebu nielewesheni jamani!!!
 
Hakuna mwanaharakati yeyote aliyeishi kuifaidi kazi ya harakati zake...wamepigwa mawe sana,wameitwa wasaliti,wameonewa na kutukanwa sana ikiwa ni pamoja na kuishi km wakimbizi ndani ya nchi zao...kwa ambao historia hjaijawapitia kushoto watamkumbuka Wole Soyinka,Steve Bicco na wengine wengi waliosimamia kile walichoamini...Hongera bwana Muro,umevuka kiunzi kimoja kati ya vingi (who kno) lakini mwishoni utapata thawabu kwa Mungu na duniani mchango wako utaenziwa....keep it up bro!
 
Pole sana. Nadhani umeshajifunza sasa.
 
''Jerry arudishie, pingu, riceipt ya pingu pamoja na bastola yake''.........hakimu akisoma hukumu ya Muro leo.

Hapo ndio nilipofurahia zaidi.
 
"HUYU" unamaanisha J. Muro au???]]]] au ?????]]]]]
kwani kama sikosei kabla ya kuajiriwa TBCCM1 alikwenda kula nondo USA nafikiri Havard ila sikumbuki vizuri sasa hivi kule alisoma nini?? wadau hebu nielewesheni jamani!!!
Kwani hii thread inamuhusu nani? Hivi unafikiri Havard ni kila mtu anaenda kujisomea tu?
 
Rejao said:
Huyu siyo mwandishi wa habari..hana hata certificate ya uandishi wa habari. Ameidhalilisha sana fani ya uandishi. Kazi ya uandishi ina ethics zake, nafikiri huyu angekuwa amehudhuria angalau kakozi chochote kingemfumbua macho na angekuwa anaifanya vizuri taaluma yake.


"HUYU" unamaanisha J. Muro au???]]]] au ?????]]]]]
kwani kama sikosei kabla ya kuajiriwa TBCCM1 alikwenda kula nondo USA nafikiri Havard ila sikumbuki vizuri sasa hivi kule alisoma nini?? wadau hebu nielewesheni jamani!!!

REJAO asikuumize kichwa, huyo ni gamba kamwe hawafurahii kazi kama za akina Jerry Murro, uandishi anaouthamini ni ule wa kuwapongeza hata walipotuibia.

Kuwa na cheti/vyeti si hoja.. hoja ni kuitendea haki taaluma kama alivyoitendea Jerry Murro hatimaye serikali kuaibika
 
"HUYU" unamaanisha J. Muro au???]]]] au ?????]]]]]
kwani kama sikosei kabla ya kuajiriwa TBCCM1 alikwenda kula nondo USA nafikiri Havard ila sikumbuki vizuri sasa hivi kule alisoma nini?? wadau hebu nielewesheni jamani!!!

alipelekwa na US embassy kula nondo kwa wale makachero na majasusi wa marekani (yaani CIA na FBI) kuhusu kuandika na kuripoti habari za kipelelezi
 
Justice is always prevail....

Hope he will go back to TBC or any other Television Network and do what he love best to expose the dirty things of police.
 
Nile ban kwa kusema ukweli? Jerry hajasomea fani ya uandishi.

Siku hizi hakuna tena haja ya kusomea uhandishi. Social media is the future where everyone including you will be a journalist. Social journalism will simply become journalism. Bloggers will no longer be just bloggers, but will be relied upon as more credible sources. News will no longer gathered exclusively by journalists and turned into a story.

Instead, it will emerge from an ecosystem. People will collectively act as a broadcast network, sharing information in a horizontal way rather than top down from the traditional media organisation. Kwa JF inaweza tayari kuwa a broadcast network. And we're its journalists japokuwa hatujausomea. Anayesomea uhandishi labda atapata kazi Ikulu Mawasiliano.
 
Dah! Pole sana Jerry..Karibu tena uraiani. Lakini naamini utakuwa umeshapata fundisho. Siyo kila mtu ni wa kuchezea ndani ya TZ hii
amepata fundisho la kuonewa?? au amepata fundisho kuwa hatakiwi kufichua uozo uliojaa kwenye jeshi la polisi?? wewe mara nyingi unapost ushabiki na sio reality!! ni heri kwako kama uatafungiwa jiwe la kusaga shingoni na kutoswa baharini!! huyu ni shujaa amepigania haki yake hadi imepatikana karibu kamanda endelea kufichua uozo usijali kwenye ukweli uongo hujitenga!!!!
 
Back
Top Bottom