Hatimaye Jerry Muro ashinda kesi yake

Hatimaye Jerry Muro ashinda kesi yake

Pole na maafa na tunaamini uamuzi wa Mahakama ulikuwa wa haki, washtaki waliokuingiza kwenye hili balaa.
 
Huyu jamaa kweli nampenda sana/.....Welcome Muro..Walitaka kukudadafya sasa ujue taifa hili lina wenyewe mpaka siku litakapotwaliwa na watanzania ndiyo utaweza kuwa huru kwa mfumo uutakao bila kuogopa mwenye pesa...Welcome...
 
Huyu siyo mwandishi wa habari..hana hata certificate ya uandishi wa habari. Ameidhalilisha sana fani ya uandishi. Kazi ya uandishi ina ethics zake, nafikiri huyu angekuwa amehudhuria angalau kakozi chochote kingemfumbua macho na angekuwa anaifanya vizuri taaluma yake.

Ningekuwa mods ungekula ban ya maisha wallahi
 
kwa jinsi ilvyokuwa inaonekana nadhan hakuwa bado ni mwajiriwa wa TBC. Hata mwenendo wa kesi yake haukuwa unaripotiwa tbc. ITV ndo walikuwa wanairipot mara kwa mara.

TBC walikuwa wanaripoti na hata leo kwenye dira ya mchana habari hiyo ilikuwa ya kwanza.
 
Sheria za nchi zinasema ukishashtakiwa mahakamani hutakiwi kuajiriwa tena na kampuni yoyote ile. Huyu Jerry Murro imekula kwake moja kwa moja.

pole sana! Sheria za nchi gani hizo? Kwa kukusaidia ukishtakiwa hata kazi hufukuzwi, unasimamishwa tu pending determination of the suit! Ukishinda, unarudi kazini, ukifungwa ndo inakula kwako kama ulivyotaka wewe.
 
Wana jamvi kwa mwenye taarifa za hukumu ya Jeri Muro atujuze kwani nimeisikia juu juu tu
 
To me it does not sound any good! I wanted Jerry Muro to be jailed so he can learn to distance himself from untouchables.

You are not serious! What would you have gain? I think what affects you is just being a "miss matcher" we have such people in society.
 
Hapo umenena mkuu, maana kuna thread moja nimeiona humu tangu mchana lakini imekaa kijuu juu sana, haijafafanua chochote.
Ila naamini tutapata full story humu humu, tujipe muda tu.
 
Mwandishi aliyekuwa wa Tbc achiwa huru baada ya kugundulika kwamba hakuwa na hatia yoyote na hakimu mkazi Kisutu.
 
pole kaka jerry.........najua atakuwa na hasira sana na kazi.......dai fidia ya shilingi moja tu
 
Huyu siyo mwandishi wa habari..hana hata certificate ya uandishi wa habari. Ameidhalilisha sana fani ya uandishi. Kazi ya uandishi ina ethics zake, nafikiri huyu angekuwa amehudhuria angalau kakozi chochote kingemfumbua macho na angekuwa anaifanya vizuri taaluma yake.
duh kumbe kaifanya vizuri kuliko waliosomea!
 
Back
Top Bottom