Hatimaye ile picha ya mapacha watatu imepatikana

Hatimaye ile picha ya mapacha watatu imepatikana

Ninasikia mama ametishiwa kura ya kutokua na imani kama watu fulani hawata teuliwa.
Hizo story tu.. HAKUNA MBUNGE ANATAKA KURUDI KWENYE UCHAGUZI. UCHAGUZI USIKIE HIVIHIVI, KUANZIA GHARAMA MPAKA USHINDANI WENYEWE. HATA AKIPENDEKEZWA PIERRE LIQUID WANAPITISHA.
 
Kwahiyo wabishi mmekutana, kila mmoja anapotia maumivu yake sasa
Mimi nina maumivu ya kumpoteza rais niliyempenda na furaha ya kujivunia mazuri aliyoyaacha ikiwemo serikali makini chini Rais Samia Suluhu Hassan
Kazi ipo kwa wenye maumivu yaliyojaza mioyo yao chuki.....
 
Mimi nina maumivu ya kumpoteza rais niliyempenda na furaha ya kujivunia mazuri aliyoyaacha ikiwemo serikali makini chini Rais Samia Suluhu Hassan
Kazi ipo kwa wenye maumivu yaliyojaza mioyo yao chuki.....
Unachosahau wenzio pia wanaamini walipigwa risasi na wenye chuki dhidi yao
 
Back
Top Bottom