Hatimaye ile picha ya mapacha watatu imepatikana

Hatimaye ile picha ya mapacha watatu imepatikana

SN.BARRY

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
4,047
Reaction score
8,989
Kuna wadau walikuwa wanasumbua sana tuwatafutie hii picha ya mapacha watatu waliopambana kuhakikisha HAYATI JPM anaingia madarakani.
IMG_20210320_152331_952.JPG
 
Pia msimsahau huyo mama aliyesuka twende kilioni.
 
Tumshukuru sana Mungu kwa zawadi ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli kwa nchi yetu. Ametutoa pagumu sana, ametuthubitishia yaliyoambiwa hayawezekani yanawezekana kwa vitendo

Ametuachia viongozi makini aliowapika kuwa wazalendo kama yeye mwenyewe na ameacha wananchi wengi walio maskini wakiwa na cha kujivunia kwa nchi yao

Ameiheshimisha Tanzania duniani kote kwa kuondoa uhuru wa bendera na kurudisha misingi ya uhuru halisi

Ametuachia serikali makini chini ya aliyekua msaidizi wake makini Rais Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote

Ametuachia jamhuri ya muungano wa Tanzania iliyo imara, bunge imara, mahakama imara na jeshi imara.

Tumuombe Rais wetu Samia Suluhu Hassan aendeleze yale waliyoyaanza pamoja, na Mungu aendelee kumjaza hekma, ampe afya ya mwili, roho na akili katika kulitumikia taifa hili

Rest well our hero President John Pombe Magufuli 💔😭🙏
 
Back
Top Bottom