Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,626
Mie nataka sura ya mdada mwenye hilo guu chini usawa wa viatu vya Kinana!! nimpigie debe bure kwenye kampeni!!Pia msimsahau huyo mama aliyesuka twende kilioni.
Mie nataka sura ya mdada mwenye hilo guu chini usawa wa viatu vya Kinana!! nimpigie debe bure kwenye kampeni!!Pia msimsahau huyo mama aliyesuka twende kilioni.
Kwamba pesa ilikuwepo ingawa ilitokana kwa Tembo kufa,Sembe n.k.Shida ya hii timu ni kupandisha twiga kwenye ndege na kugawana vitalu vya kuwindia wanyama..ila kwenye mipango ya uchumi na feza kitaa ilikua poa sana.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaweza kuwa nafuusana,ni mtazamo tu lakini.Hii CCM ikirudi madarakani,tumekwisha.
Hakuna kulia hiki kikombe lazima mkinyweHii CCM ikirudi madarakani,tumekwisha.
Naona taratibu watu wanaanza kum appreciate Magufuli...Hii CCM ikirudi madarakani,tumekwisha.
Huyu mama atakuwa na kazi ngumu, ila sina wasiwasi maana Magufuli vni mwalimu mzuri! Makauzu hawataamini ushupavu wake...namuona _'Iron lady' wa tz!Hamna kitu wanaweza mfanya! Tena ngoja amalize msiba awapatie majibu mubashara
Halafu JK nae yupo Lumumba.Kuna kila dalili ya hii team kurudi.Hakuna kulia hiki kikombe lazima mkinywe
Nilijua hawa jamaa lazima warudi kwa speedHalafu JK nae yupo Lumumba.Kuna kila dalili ya hii team kurudi.
Wamepata taabu miaka 5 iliyoisha. Lazima watataka kufidia. Hawatafanya kosa walilofanya 2015.Yaweza kuwa nafuusana,ni mtazamo tu lakini.
Na bado! Magu ni chuma period!Naona taratibu watu wanaanza kum appreciate Magufuli...
Afu huyu Jk, hebu asituletee yake, wampe uenyekiti wa CCM mama yetu haraka!Halafu JK nae yupo Lumumba.Kuna kila dalili ya hii team kurudi.
Naona kama una fahamu mzuri kiasi ila wakati mwingine ni kama bendera fuata upepo Ngabu. Unapeperuka huku na kuleNaona taratibu watu wanaanza kum appreciate Magufuli...