Hatimaye ile picha ya mapacha watatu imepatikana

Hatimaye ile picha ya mapacha watatu imepatikana

Huyo wa kushoto huyo, mumuangalie kwa jicho la umakini sana. Ni yeye pekee aliyebakia kwenye ile tano bora ya mwaka 2015!

Mwanaume mwenzake aliyebakia kwenye ile 5 bora (Bernard Membe) alishachochoa kitambo, walio bakia wengine ni akina mama! Kwa hali hii, Makamu wa Rais bado hajulikani tu!!! 😇
 
Hao wakirudi,sitashangaa huyo makamu walomuweka akachukua nafasi ya mama. Maana Wamepata taabu sana kipindi cha Magufuli. Wanataka kurudi kwa speed ya light. Mama Mungu amlinde.

Mama yuko kwenye maombi yetu❤🇹🇿🙏

Wakishupaza shingo yatatokea yale ya 2015 waanze kukatana, mwisho waliyemtaka nae akose, wakose pa kuchagua waishie kumpa nchi aliyechaguliwa na Mungu kwa maombi ya Watanzania

Wakati wanatangaza nia ni nani alitegemea kwamba Magufuli ndio angepeperusha bendera ya CCM na kuliongoza taifa hili kwa miaka5?
 
Back
Top Bottom