Mama muuza
Member
- Jan 28, 2014
- 24
- 14
Jamani gesi imeshuka bei kuanzia tarehe 27 January kwa mujibu wa kampuni ya Oryx kutokana na bidhaa hiyo kushuka kwenye soko la dunia baada ya bei kutengemaa. Kumbukeni gesi ilipanda ghafla hapa katikati na kufanya watu washindwe kununua na wengine na sisi tupoteze wateja. Kwa wakazi wa Sinza mori mnakaribishwa sana opposite na Soccer city mjipatie bidhaa kwa bei hii iliyopitishwa na mtapelekewa mpaka nyumbani..