Hatimaye fedha kurudi mitaani

Hatimaye fedha kurudi mitaani

Muhadhiri wa chuo kikuu cha Dar - es salaam, Dr. Joel Silas ameelezea matumaini yake kuwa mpango wa serikali wa kukopa kwenye benki za biashara za ndani utarudisha fedha zilizoadimika mitaani kwa sasa hatimaye .

Kwamba hatua hiyo itarudisha fedha iliyopotea mitaani kwa sababu itasaidia kuimarisha mzunguko wa fedha kwenye uchumi .

Chanzo - Nipashe .

Mytake - Elimu ni ufunguo wa maisha .
hizo bank zinatoa wapi pesa ya kuikopesha serikali na zikishaikopesha wananchi watakopa wapi
 
Kunawakati wasomi wetu ni janga kuliko kawaida wasomi badala ya kupeleka ushauri namna ya kunusuru uchumi anashangilia serikali kukopa

Elimu haina mwisho ila mawazo ya binadamu yana ukomo nae huyu msomi wetu mawazo yake ndo yalipo ishia
YAANI HUU UKOSEFU WA HELA MACHIZI WAMEONGEZEKA KWELI TOKA KUNDI LA WASOMI HUKU KIJIJINI KWETU KUNA AFISA KILIMO KAITISHA MKUTANO AKASEMA DALILI YA MAWINGU WANANCHI WAKASHINDWA KUJIBU
 
Muhadhiri wa chuo kikuu cha Dar - es salaam, Dr. Joel Silas ameelezea matumaini yake kuwa mpango wa serikali wa kukopa kwenye benki za biashara za ndani utarudisha fedha zilizoadimika mitaani kwa sasa hatimaye .

Kwamba hatua hiyo itarudisha fedha iliyopotea mitaani kwa sababu itasaidia kuimarisha mzunguko wa fedha kwenye uchumi .

Chanzo - Nipashe .

Mytake - Elimu ni ufunguo wa maisha .
kwa hiyo fedha ziko mabenki siyo kwa wapigadili wamezifukia kwenye lumbesa ardhini na vitisho vya kubadilisha fedha kumbe ni utapeli wa kisiasa?
 
kwa hiyo fedha ziko mabenki siyo kwa wapigadili wamezifukia kwenye lumbesa ardhini na vitisho vya kubadilisha fedha kumbe ni utapeli wa kisiasa?
Fedha zipo ila kwenye masanduku "BOT" zinakula kiyoyozi.

eti wakope commercial bank, na sio wakafungue masanduku yao huko BOT
 
Ndio akili za maprof wetu mkuu labda Pesa zitazunguka kwa mamantili wanapokulaga wachina na camps za wajenga barabara
 
Muhadhiri wa chuo kikuu cha Dar - es salaam, Dr. Joel Silas ameelezea matumaini yake kuwa mpango wa serikali wa kukopa kwenye benki za biashara za ndani utarudisha fedha zilizoadimika mitaani kwa sasa hatimaye .

Kwamba hatua hiyo itarudisha fedha iliyopotea mitaani kwa sababu itasaidia kuimarisha mzunguko wa fedha kwenye uchumi .

Chanzo - Nipashe .

Mytake - Elimu ni ufunguo wa maisha .
Nachelea kuliamini hili,ingawa limetolewa na muhadhiri na msomi. Najiuliza,serikali ikikopa kawaida ulipaji wake ni mbinde,mabenki karibia yote yako kwenye crisis ya deposit. Maana yake ratio ya mikopo na deposit ni mbovu mno. Sasa,serikali ikikopa mabenki yetu haya,tutarajie mabenki kuanguka,kuanguka kwa mabenki kutaongeza mzunguko wa pesa kweli!!! Ngoja tusubiri tuone.
 
YAANI HUU UKOSEFU WA HELA MACHIZI WAMEONGEZEKA KWELI TOKA KUNDI LA WASOMI HUKU KIJIJINI KWETU KUNA AFISA KILIMO KAITISHA MKUTANO AKASEMA DALILI YA MAWINGU WANANCHI WAKASHINDWA KUJIBU
Ha! Ha! Ha!
 
Muhadhiri wa chuo kikuu cha Dar - es salaam, Dr. Joel Silas ameelezea matumaini yake kuwa mpango wa serikali wa kukopa kwenye benki za biashara za ndani utarudisha fedha zilizoadimika mitaani kwa sasa hatimaye .

Kwamba hatua hiyo itarudisha fedha iliyopotea mitaani kwa sababu itasaidia kuimarisha mzunguko wa fedha kwenye uchumi .

Chanzo - Nipashe .

Mytake - Elimu ni ufunguo wa maisha .
Kwani sababu si ilikuwa vibubu vya nyumbani?
 
Wapiga Dili wanahaha Kama Mapaka ya Rose Garden mkuu.
Mytake: Maisha ni Ufunguo wa Elimu.

Duterte tunaolalamika ni wafanyakazi tuliofanyakazi kwa uwezo uliotukuka na tumefikia kustaafu lakini mpaka sasa hivi hatuna jibu. Je sisi bila kuwa na uwezo wa kufikiri tungeweza kutumikia taifa hili kwa miaka zaidi ya hamsini ya kuzaliwa???

Hivi sote tunaolalamika ni vilaza tusio na uwezo wa kufikiri hata kama hatuna Phds lakini hao wenye nazo tumeattend lecture nao na wengine wametuomba notice wakiwa kwenye vikao vya chama na tuliwapa na tulifaulu kuliko wao na sasa tumekalia hapa bila kujua twende wapi.

Wapiga dili hawana shida walishajiwekea ila sisi tuliotumikia taifa kwa moyo na kuamini macomrades wetu tuliokuwa nao kwenye mvua watatukumbuka ndo tunahaha.
Mnaongea mkidhani kila mtu kala cake ya nchi hii mnasahau wengine tumo humu kujiongezea maarifa na kukutana na the Thinkers siyo kukutana na mipasho.

Siyo kila anayeongea negative comment ni mpinzani au mla rushwa. Siyo kila anayeshangilia kila wanachosema viongozi ni waadilifu. Tunao wapiga dili ambao wamebewa mpaka leo na watabebwa sababu wanajua kuchezea upepo.
 
Back
Top Bottom